mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Leo nimetembelea maeneo ya kariakoo na posta angalau kwa siku ya leo kumeonekana kuwa safi, hasa pale kariakoo , packing zote zilikuwa safi, hata pale stendi ya kawe na Tegeta.
Nasema kwamba kama mgambo wote wakiwa waaminifu jiji linaweza kuwa safi, ila cha kushangaza mgambo huwa wanapitia Tshs 1000 mpaka tshs 2000 kwa wote wanaopanga vitu barabarani au kingo za barabara hata stend za mabasi,.
Cha kukufanya kuhusu hili.
1. Kila Mgambo wapewe eneo husika kwa makundi, alafu mkuu wao apitie kila baada ya muda fulani, akikuta eneo husika ni chafu au kuna wapanga bidhaa barabarani, achukuliwe hatua hata kufukuzwa kazi.
2. kila mmiliki wa nyumba au mpangaji awe anatoa taarifa za eneo lake kuhusu uvamizi wa eneo lililopo mbele yake kwa mgambo.
3. kuwepo kamera za kurekodi matukio hasa ambapo kuna uchafu mwingi imulike waliosabababisha na kuchukuliwa hatua, na itaondoa mgambo wala rushwa, mie nawaona sana wakila rushwa ila sina kamela mzuri.
4. Kuwaadhibu wote wanaotiririsha maji machafu bila kujali ni nyumba ya nation housing au serikali
Nasema kwamba kama mgambo wote wakiwa waaminifu jiji linaweza kuwa safi, ila cha kushangaza mgambo huwa wanapitia Tshs 1000 mpaka tshs 2000 kwa wote wanaopanga vitu barabarani au kingo za barabara hata stend za mabasi,.
Cha kukufanya kuhusu hili.
1. Kila Mgambo wapewe eneo husika kwa makundi, alafu mkuu wao apitie kila baada ya muda fulani, akikuta eneo husika ni chafu au kuna wapanga bidhaa barabarani, achukuliwe hatua hata kufukuzwa kazi.
2. kila mmiliki wa nyumba au mpangaji awe anatoa taarifa za eneo lake kuhusu uvamizi wa eneo lililopo mbele yake kwa mgambo.
3. kuwepo kamera za kurekodi matukio hasa ambapo kuna uchafu mwingi imulike waliosabababisha na kuchukuliwa hatua, na itaondoa mgambo wala rushwa, mie nawaona sana wakila rushwa ila sina kamela mzuri.
4. Kuwaadhibu wote wanaotiririsha maji machafu bila kujali ni nyumba ya nation housing au serikali