Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Eti kwa kuhakikisha kuna usalama siku ya uchaguzi askari mgambo wa jiji wametakiwa kuripoti kwa wakurugenzi wa manispaa za jiji la Dar ili waweze kushiriki katika ulinzi siku ya uchaguzi.
Wasiwasi wangu hawa jamaa huenda ndio wakawa chanzo cha vurugu maana kuna tabia imejengeka miongoni mwao pale wanapopewa kazi wanafanya kwa sifa ili waonekane nao wapo!
Wasiwasi wangu hawa jamaa huenda ndio wakawa chanzo cha vurugu maana kuna tabia imejengeka miongoni mwao pale wanapopewa kazi wanafanya kwa sifa ili waonekane nao wapo!