Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Askari wa kikosi cha mgambo cha manispaa ya Kinondoni ambaye hadi sasa amefariki baada ya kupigwa na kitu kizito leo asubuhi walipo kuwa kwenye operesheni ya kuondoa vibanda vya wafanyabiashara ndogondogo kwenye stendi ya daladala ya Mwenge.
Mpaka nakuleteeni habari hii hali si shwari pale mwenge stand, ni vurugu mtindo mmoja.
Mpaka nakuleteeni habari hii hali si shwari pale mwenge stand, ni vurugu mtindo mmoja.