Mgahawa

Itapendeza kama anaewiwa akaja kujionea. Maana hapa kwenye picha tutadanganyana.
 
Kwa maelezo zaidi piga sim au njoo ujionee kwa macho....
Mgahawa upo kamili unaingia na mtaji wako wa bidhaa za kupika tu. Mgahawa unafanya kazi masaa 24. Haufungwi usiku wala mchana. Na mgahawa umejikita hasa kwenye bites. Panatengenezwa bites usiku na mchana.
 
Waambie hivi kwa mwezi unapata faida kihasi gani ??
Kwanini yeye anaacha ??
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom