Kwa maelezo zaidi piga sim au njoo ujionee kwa macho....
Mgahawa upo kamili unaingia na mtaji wako wa bidhaa za kupika tu. Mgahawa unafanya kazi masaa 24. Haufungwi usiku wala mchana. Na mgahawa umejikita hasa kwenye bites. Panatengenezwa bites usiku na mchana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.