DJkus
JF-Expert Member
- Nov 9, 2018
- 354
- 467
Habari kwenu wanaJF..
Barabara zetu nyingi za mikoani na Wilayani ni vikaangio vya vitumbua na au Muffin Pan's.
Pindi viongozi wa maeneo husika wasikiapo kuna ujio wa maboss wao toka juu basi watapamba kusafisha na kuziba mashimo yote barabarani
Mie huwa najiuliza budget hutoka wapi ya haraka kurekebisha haya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Barabara zetu nyingi za mikoani na Wilayani ni vikaangio vya vitumbua na au Muffin Pan's.
Pindi viongozi wa maeneo husika wasikiapo kuna ujio wa maboss wao toka juu basi watapamba kusafisha na kuziba mashimo yote barabarani
Mie huwa najiuliza budget hutoka wapi ya haraka kurekebisha haya?
Sent using Jamii Forums mobile app