tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,809
- 15,057
Ushaambiwa atavaa nguo zake za uraiani..mbona kichwa chako kigumu sana kuelewa?Naomba ufafanue kidogo mkuu. Mfano Sabaya ambaye tayari amehukumiwa,na akahitajika kwenda mahakamani kwa kesi tofauti na ile aliyotiwa hatiani,je anavaaje?.
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app