Mfungwa mwenye kesi nyingine anapoenda Mahakamani anavaa sare za wafungwa?

Wafungwa waruhusiwe kutungisha mimba wake zao au wachumba zao nje,kama umefungwa miaka mingi Ili uzao wako usipotee.
Wafungwe lakini wasinyimwe haki ya kuzaa.
Wapewe huduma ya kuchukuliwa mbegu zao zikatungishwe kwa wapenzi zao nje kuliko kutoka ndo uanze na moja.

Kuna baadhi ya sehemu duniani wanaruhusu CONJUGAL VISITS kwa inmates wanandoa. hapo inmates wanaweza kumimbana kawaida kabisa nadhani. Watu wa haki za binadamu Tz wanatakiwa walipigie hili kelele ili ipitishwe sheria inayoruhusu hzo ishu.

Currently, only California, Connecticut, Mississippi, New Mexico, New York, and Washington allow conjugal visits. ... Washington and California even provide trailers or mobile homes on prison grounds for conjugal visits with spouses and extended family visits with other family members
 
Naomba kueleweshwa,Je mfungwa anayeshitakiwa kwa kesi nyingine ( Si rufaa ya kesi iliyomtia hatiani) anapoenda mahakamani anaenda na sare ya magereza kama anavyoenda hospital akiugua au anaenda na nguo zake za kawaida?
Anakwenda na kitambulisho chake
 
Hayo ya mavazi mimi wala hayaniumizi! Aende na sare za wafungwa, sawa! Aende akiwa ameulamba suti, poa tu!! Hofu yangu isije Majambazi wenzake wakafanya rescue attempt kwa kutumia advantage ya hizo movemnts za to and from mahakamani!!

Na hizi foleni za Dar, ukizipiga gari pin kwenye folen, hawaendi mbele wala nyuma!!

Miaka 30, huku misala mingine ikinisubiri, hata mimi naandaa genge la kufanya ambush. Na hata nikipewa cha moto wakati wa kutoroka, poa tu kuliko kwenda kunianzia maisha mapya ya jela na kuishi huko ujana wangu woooooote hadi uzeeni!!
Ni Dar kumbe?
 
Back
Top Bottom