Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,636
- 13,050
Uko sahihi, sasa hapo unakosoa au kupinga nin?Kesi na hukumu siyo kwa ajili yake tu, ni pamoja na kuwa fundisho kwa wenye tabia, vitendo na fikra kama zake.
Mtu anaweza kushitakiwa hata kama umri na hali yake ni ya kufa nyakati hizo hizo.