Mfungwa Lengai Ole Sabaya asuburiwa na Takukuru mkoa wa Kilimanjaro kuna tuhuma za kujibu

seedfarm

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
260
2,654
Mkuu wa Takukuru mkoa wa Kilimanjaro Frida Wikes amesema upatikanaji wa Lengai Ole Sabaya ulikuwa mgumu sana kutokana na Arusha na Kilimanjaro ni mikoa tofauti hivyo walisubiri amalizane na kesi zake Arusha

Mkuu wa Takukuru Kilimanjaro amethibitisha kuwa tuhuma za Sabaya zinazidi kumiminika kwenye ofisi yake Kilimanjaro,

Aidha Frida Wikes amefafanua kuwa kuendesha kesi mfululizo mkoani Arusha za Sabaya zimefanya kuwa ngumu kumpata Lengai Ole Sabaya ili ajibu tuhuma zinazomiminika mkoani Kilimanjaro

Frida Wikes amesema atafafanua wakati na muda muafaka utakapofika
 
Aiseee. Inamaana baada ya ile hukumu watu wameona waendelee kumpa kesi nyingine tu. Hapo anatamani mamlaka yake ya uteuzi ifufuke au aamke kwenye hiyo nightmare
 
Si anyongwe tu kila siku kusumbua watu na makesi kibao.
Mtoto wa shetani

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
I second you, mahakama na serikali watumie busara, sasa kama mtu kafungwa 30 yrs na bado mnaendelea naye na kesi zingine huku mnachelewesha kutoa haki kwa kesi za watu wengine, mnyongeni maisha yaendelea, mbona yeye alimkata mtu masikio(sina ushahidi lakini)
 
Back
Top Bottom