libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,366
- 3,374
Anasema anataka apelekwe Gereza la Ukonga atakuwa kapewa story za Ukonga kule ubwabwa naziHuyu mfungwa anataka apewe uraia wa kudumu gerezani, duh
Anasema anataka apelekwe Gereza la Ukonga atakuwa kapewa story za Ukonga kule ubwabwa naziHuyu mfungwa anataka apewe uraia wa kudumu gerezani, duh
Pwani Kuna mamende, naona anataka kuliwa kisamvuAnasema anataka apelekwe Gereza la Ukonga atakuwa kapewa story za Ukonga kule ubwabwa nazi
Labda kaambiwa Ukonga bao moja berenge la shtua unapewa na bashaPwani Kuna mamende, naona anataka kuliwa kisamvu
kamba dk 10?Nani ana mawazo haya sasa mkuu? Watu wakishaitwa jeshi la polisi, magereza, jkt, jwt wote hutumia nguvu bada ya akili ndio maana jana umeshuhudia komandoo akijifungua kamba kwa dakika 5-10.
Magereza wampe hata kibarua kwenye karakana zao za mambo ya ufundi, au asimamie bustani zao.
Afundishwe udereva trekta akafanye kazi kwenye mashamba ya miradi ya serikali ya kilimo na utafiti.
Maskini kuna wakati linakujia dukuduku tu "nimekaa miaka yote umebaki mmoja ndio wananitoa waniache mie".
inasamehewa ⅓ ya kifungo.Wanahesabu masaa usiku na mchana
kama hujui kitu bora kukaa kimya, utajidharirisha bure jukwaani.Namtetea:
Rais alisema wanaohusika na msamaha ni wale waliobakiza mwaka mmoja kumaliza vifungo vyao, huyo anatakiwa kutoka 2030
Mbowe?Mwenyekiti??