TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,077
haya maneno yanatoka kwako kweli? Mbona ulikuwa na imani naye?mam enu mdogo nchi imemshinda.
haya maneno yanatoka kwako kweli? Mbona ulikuwa na imani naye?mam enu mdogo nchi imemshinda.
Salaamu watoto wa Jamhuri ya Muungano!
Kiukweli huku MTAANI vitu vinazidi kupanda bei siku Hadi siku.Nyama saizi 8000 Toka 7000. Juzi nimeenda dukani kununua Colgate naambiwa Sasa ni 5000/= ikiwa hapo awali nilikuwa nanuna 3500/.
Kwa ujumla vitu vingi bei vimepanda na sijaona tamko lolote kutoka mamlaka za serikali kuhusu hili. Je, Kuna inflation inapiga raia kimya kimya na serikali haitaki tamka rasmi?
Wataalamu naombeni uchambuzi ni ni kimesababisha Hali hii ghafla hivi.
Kwani vyuma bado vimekaza? Mimi nilidhani vimelegezwaHatari mkuu yaani Kila ukienda nunua kitu unakuta bei sio uliyoicha juzi tena
Zanzibar 28,000Aisee hii ni hatari
Hatari mzee, huko kwny finishing ndio balaa, gypsum board kwaajili ya partation zilikuwa zinauzwa 22,000/ pc Kamaka sasahv wanauza 35000/pc hii ni hatari.Ni hatari sana, na mimi ndo kipindi nilikuwa nafanya ujenzi nondo ilikuwa around elf 18, sementi ya dangote elf 11 material ya finishing ndo hayakamatiki kwa sasa, ngoja niendelee kujikongoja kwenye gofu langu ilimradi umejikinga na mvua na jua.......hapa sasa nimetoka kununua gesi ule mtungi wa mihan nilionunua mara ya mwisho elf 43, leo nimetoa elf 50, tunaenda kutengeneza jangwa hivi karibuni maana watu ambao walikuwa wameanza kutumia gesi wanarudi kwenye mkaa kwa kasi ya 5G, na mimi ni mmoja wao...........
Leo umeandika mboleaMzunguko wa pesa umekua mdogo...
Hata katiba ya sasa ina succession plan. Unaongea porojo za kichadema ambazo hazina kichwa wala miguu kwenye issue ya uchumi.Hayo ndo madhara ya rais kufariki akiwa madarakani, nchi inakosa uthibiti kabisa.......tunaposema mchakato wa katiba mpya uanze ni pamoja a kuweka sawa mambo kama haya ya succession plan.
Tena alisema anaupiga mwingi sanahaya maneno yanatoka kwako kweli? Mbona ulikuwa na imani naye?
Mafuta ya kupikia je?Salaamu watoto wa Jamhuri ya Muungano!
Kiukweli huku MTAANI vitu vinazidi kupanda bei siku Hadi siku.Nyama saizi 8000 Toka 7000. Juzi nimeenda dukani kununua Colgate naambiwa Sasa ni 5000/= ikiwa hapo awali nilikuwa nanuna 3500/.
Kwa ujumla vitu vingi bei vimepanda na sijaona tamko lolote kutoka mamlaka za serikali kuhusu hili. Je, Kuna inflation inapiga raia kimya kimya na serikali haitaki tamka rasmi?
Wataalamu naombeni uchambuzi ni ni kimesababisha Hali hii ghafla hivi.
Hata katiba ya sasa ina succession plan. Unaongea porojo za kichadema ambazo hazina kichwa wala miguu kwenye issue ya uchumi.
Katika eneo hilo la kukaimu,watawala wajue katiba ina changamoto,mimi nilitaka baada ya miezi sita uchaguzi uitushwe.Hayo ndo madhara ya rais kufariki akiwa madarakani, nchi inakosa uthibiti kabisa.......tunaposema mchakato wa katiba mpya uanze ni pamoja a kuweka sawa mambo kama haya ya succession plan.
Haiingii akilini mtu ambaye hachaguliwa kwa kura kwenye nafasi kubwa kama ya rais asimikwe kwenye nafasi hiyo kwa miaka zaidi ya minne.
Kwa uelewa wangu madaraka ya rais hayawezi kukaimiwa kwa zadi ya miezi sita kabla ya kufanya uchaguzi upya.
HahahhahahaNa ndio maana sasa , mtu anakuwa kama hajiamini vile, muda mwingi ni kutafuta huruma tu kwa kutumia JINSI, yake!!!
Duuh! Acha uwongo ndugu yangu! Marekani ukienda n dollar 100 unanunua mazaga ya week nzima sasa hii ya parachichi la dollar 100 umenunua wapi?Hata deflation humgusa kila mtu.
Usililie deflation ni mbaya sana ndugu yangu, ni ujamaa ule wa kuleta umaskini. Unatakiwa kuchakarika kuikimbiza thamani ya pesa, ongeza uzalishaji wako.
Sikia mtaani pesa ikiwa nyingiiii hakuna bidhaa hiyo ni inflation mbaya sana. Hivyo hivyo kukiwa na bidhaa kila sehemu ila pesa hakuna ni mbaya sana. Pengine mbaya zaidi.
Inatakiwa inflation inavyoongezeka raia wachakarike na uzalishaji ili iwe sawa na uzalishaji na thamani ya pesa nje ya nchi ipande huku serikali ikihakikisha money supply haizidi uzalishaji. Mnakutana kwenye equlibrium.
Mfano , dola moja ss kwetu ni elfu mbili na ushee, ila parachichi unalonunua hapa mia tano marekani atalinunua dola mpaka mia almost laki mbili na ushee. Hiyo ni inflation kwao lakini isiyo na madhara kwenye uchumi wao bali faida.
Ulitaka tufe njaa..unauwezo kununua mchele kilo kwa elfu 5..au unaropoka tu.fikiri kama mtu mwenye elimu hata unaweza hata kutumia internet. Sera hiyo ilikuwa ya hovyo sana na ilidumaza maisha ya wakulima ambao ni zaidi ya 70% ya watanzania wote. Ilikuwa sera ya hovyo iliyoasisiwa pasipo kufanyiwa utafiti
Upo jimbo gani?Duuh! Acha uwongo ndugu yangu! Marekani ukienda n dollar 100 unanunua mazaga ya week nzima sasa hii ya parachichi la dollar 100 umenunua wapi?