Mfumuko huu wa bei nchini, Watanzania tumekuwa wapole mno. Tunahitaji maandamano ya amani

Bushmamy

JF-Expert Member
Aug 18, 2019
8,848
15,252
Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.

Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.

Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.

Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.

Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,

Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.

Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.

Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida.

Majani ya chai yale ya 600 leo ni 700,novida ilikuwa 500 leo ni 600, sabuni kipande leo ni 600, mikate nayo imepanda bei, kutokana na ngano kupanda bei, nk. Vifaa vya ujenzi ndo usiseme.

Serikali iko kimya ka hawaoni au hawajui ya kuwa wananchi wanaumia?
 
Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.

Kipato cha mtanzania kiko pale pale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.

Sahivi ukininunua mafuta ya elf moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.

Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno,huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.

Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,

Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.
Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.
Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida

Vyama vya siasa havina wana mikakati (strategists) wa ushindi.

"Lose balls" zote zinazagaa langoni mwa adui hazina mwenyewe hadi zinatushangaa.

Vyama vya siasa viko kama mikusanyiko ya watu misibani, Saccos, vyama vya kufa na kuzikana, nk:

Kwanini CCM wanatuita SACCOS?

ZZK au ACT Wazalendo hata kwenye sakata la Ndugai umewasikia?

Au Corona bado imemkamata?

Yasemekana yupo kwenye mkeka mpya wa mama. Hata wahanga wa Pemba anawakumbuka tena?
 
Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.

Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.

Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.

Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.

Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,

Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.

Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.

Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida

Kweli hali sio nzuri kitaa
 
Tunaanzia wapi mliko tuje tuungane? 🤔🤔..

Mkishaandamana kimbieni Nchi hamieni huku hakuna mfumuko wa bei 👇

Screenshot_20220104-065943.png


Screenshot_20220108-064106.png


Screenshot_20220106-211127.png


Screenshot_20220105-152606.png
 
Vyama vya siasa havina nana mikakati (strategists).

"Lose balls" zote zinazagaa langoni mwa adui hazina mwenyewe hadi zinatushangaa.

Vyama vya siasa viko kama mikusanyiko ya watu misibani, Saccos, vyama vya kufa na kuzikana, nk:

Kwanini CCM wanatuita SACCOS?

ZZK au ACT Wazalendo hata kwenye sakata la Ndugai umewasikia?

Au Corona bado imemkamata?

Yasemekana yupo kwenye mkeka mpya wa mama. Hata wahanga wa Pemba anawakumbuka tena?
Akili zinaanza kurejea taratibu, muda ni mwalimu
 
Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.

Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.

Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.

Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.

Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,

Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.

Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.

Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida
Naona labda tuhamie Zanzibar labda kuna unafuu maana wao wanapendelewa na wanasiasa wao, sisi watanganyika wanasiasa wanasuka mipango watakavyotukamua hadi maji tuyaite....mmmaaah!!!!!
 
Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.

Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.

Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.

Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.

Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,

Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.

Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.

Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida
Balaa kk yani nchi kma sio ye2
 
Tunaanzia wapi mliko tuje tuungane? ..

Mkishaandamana kimbieni Nchi hamieni huku hakuna mfumuko wa bei

View attachment 2072919

View attachment 2072920

View attachment 2072925

View attachment 2072926
Kana una elimu haijakusaidia chochote zaidi ya kujua kuhesabu pesa unazopewa na shemeji yako. Kama una akili basi zimewekwa kwenye masaburi.

Ni hivi hakuna nchi ambayo haikumbwi na inflation lkn tunajadili ni vipi serikali yetu inapambana na inflation. Hizo nchi ulizozi-site hapo wadau wote wa madndeleo ikiwemo serikali, wananchi na wawekezaji wanakuja na solutions za kukabiliana na inflatio.

Serikali yako inafanya nn zaidi ya kulalamika. May be inaona inaongoza mang'ombe kwa kuona comment kama zako kwenye sosho midia. Mtoa mada amesuggest solution wewe unaleta mifano ya nchi zilizokumbwa na inflation. Ndio mana ccm itazidi kutupapasa masaburi mpaka tukome mmannnninnnna
 
Building materials ndizo naona zimepanda kweli,huko kwenye mahitaji mengine kunacheza up and down hata vyakula vinacheza up and down,
N.b,Kwenye sekta ya viwanda vya building and metal materials, kutokana na uchumi wa awamu ya tank kusinyaa hivyo hata viwanda vilipunguza productions,toka mkombozi wa taifa rais wa awamu ya sita aingie,Uchumi uli shutup unexpectedly hivyo kusababisha mapungufu ya ghafla Kwa mlaji,viwanda vyetu Kwa sasa vimejitahidi sana kuendana na kasi ya uhitaji SOON KILA KITU KITAKAA SAWA SAWA,HILI LIMESABABISHA BAADHI YA VIONGOZI KULETA CHUKI ZA WAZI WAZI KWA RAIS WETU,WHY SHE SUCCEED AT A HIGHEST LIKE THIS.
 
Policcm wanatutambua sie kama ng’ombe na sisi tutakula chochote kile kikiwa bandani.

Yapo tuu kupigana vikumbo kuendelea kulipwa mishahara minono na mashangingi. Wanafocus na 2025 kuanzia mkuu wa nchi hadi mjumbe wa nyumba 10
 
Kana una elimu haijakusaidia chochote zaidi ya kujua kuhesabu pesa unazopewa na shemeji yako. Kama una akili basi zimewekwa kwenye masaburi.

Ni hivi hakuna nchi ambayo haikumbwi na inflation lkn tunajadili ni vipi serikali yetu inapambana na inflation. Hizo nchi ulizozi-site hapo wadau wote wa madndeleo ikiwemo serikali, wananchi na wawekezaji wanakuja na solutions za kukabiliana na inflatio.

Serikali yako inafanya nn zaidi ya kulalamika. May be inaona inaongoza mang'ombe kwa kuona comment kama zako kwenye sosho midia. Mtoa mada amesuggest solution wewe unaleta mifano ya nchi zilizokumbwa na inflation. Ndio mana ccm itazidi kutupapasa masaburi mpaka tukome mmannnninnnna
Kwa akili zako za kipumbavu umeona haipambani? Hujasikia mafuta yameshuka,alishusha mama yako? Tikiti maji mkubwa.
 
Hali mtaani inatisha sana, karibu kila kitu kimepanda bei, kuanzia maduka ya ujenzi hadi maduka ya vyakula, hadi pipi zimepanda bei.

Kipato cha Mtanzania kiko palepale na asilimia kubwa ya vijana hawana ajira wala kipato chochote.

Sahivi ukininunua mafuta ya elfu moja ya kupikia hayatoshi kabisa kwenye mboga. Na baadhi ya maduka ya mitaani yameaacha kabisa kuuza mafuta reja reja kutokana na madai kuwa wanashindwa wauzeje kwani wateja wao Wamekuwa wakilalamika kuwa kupunjwa na Kuona kuwa wanaibiwa.

Kwenye kilimo huko wakulima wanalalamika jua limekuwa kali hakuna mvua wala mavuno, huku pembejeo zikiwa hazikamatiki kwa bei.

Kwa ujumla hali ni tete tena sanana wananchi wamekuwa wapole kupita kiasi.
Viongozi wetu wametulia tulii kama hakuna wanachojua wala kuona vile,

Kwa serikali inayojali wananchi wake tayari wangeshafanya namna yoyote iwayo kama vile kupunguza kodi kwa bidhaa zote, na haswa upande wa kodi ya mafuta na vipuri vya magari bandarini.

Kwa vile serikali yetu haipendi kukosolewa wala kunyooshewa kidole basi wananchi tutaendelea kutaabika tu.

Lakini kiukweli hali mtaani sio nzuri kwa Mwananchi wa kawaida
Kuna watu walikuwa wanalalamika "inchi haina uhuru wa kujieleza sababu zake.mwendazake ...........",baada ya Mwendazake zake kuondoka zake wanaharakati wetu na baadhi ya wanasiasa wakadai "inchi sasa ina uhuru wa kujieleza.........inchi imefunguka na mama ana upiga mwingi. "

Haya sasa wana uhuru wa kujieleza sasa.
1.Tozo zime ongezeka wamepiga kimya.
2 Mafuta yame ongezeka bei kimya.
3.Baadhi ya bidhaa zime ongezeka bei kimya
4.Mgao wao umeme kimya.
5.Mgao wa Maji Kimya.
6.Bei za kuunganisha umeme zimepanda kimya.

Hua na jiuliza hivi haya yote yange tokea kipindi Mwendazake yupo hai, sijui ingekuwaje baadhi ya wanasiasa wetu na wanaharakati huko twitter, yaani mitandao ingebast.

Hapo ndipo unapata picha may be Mwendazake aliziba mianya ambayo wao walikuwa wana nufaika nayo.

Sisi tukilalamika tunaitwa Sukuma, utazani labda wao wanaishi Burundi.
 
Back
Top Bottom