The Bleiz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2012
- 5,062
- 13,461
Sipawezii.. Nikikamilisha Majukum Naondoka..Vumbi Sana
Gari Ikiwa Nyeusi Ndiyo Bhalaa
Muuza duka yupo Stend Anasubir Gari lijae.. heheh
Hapa panahitajika MTU makini.. otherwise.. patadumaa sanaHivi dodoma kimeahindika kitu gani kutoa maji iringa kule yapo bwerere?
Mimi sijui kwa nini waliamua kuhamishia serikali dodoma wakati sasa hivi tuna mamabo ya serikali mtandao.Mawazo ya miaka ya 70 unaleta karne ya 21 unasema ni ndoto ya mwalimu Nyerere.DODOMA haiwezi kukua sana sana tumeiua Dar es SalamaAisee yaani umesema kabisa kuna siku natoka hapo sabasaba naenda UDOM mpk BMH. Hawa watu hawana kabisa haraka wana uvivu mpaka wa kufikiri. Gari linajaa wanaanza kumtafuta dereva. Vipanya wavitoe kabisa ni uchafu katika jiji ambalo linatengenezwa kuwa jiji la mfano kwa mujibu wa JPM! Jiji lina wajinga wengi sana hasa katika sekta ya usafiri wa umma.
Hahaha saa tatu mbona mapema braza. Kuna mitaa huku adi saa tano
HaaHii nimeshangaa sana dodoma, mtu anaweza kusimamisha gari barabarani na akaenda dukani kununua Maji au hata chochote na akarudi na kuendelea huku nyuma yake gari nyingine zikisubiri. Yani watu hawana haraka kabisa, hii ndio dodoma bana
Sasa kusoma tu miaka mitatu na tulioajiriwa mwaka wa 17 huu tusemeje?Wewe umeenda wiki tuu unalalamika? Na tuliosoma hapo miaka 3 tusemeje?
Hao ndio wagogo bwana
Unforgetable
Shida inakuja kwa madereva wazawa wa Dodoma wanaushamba wa kukomaa na site yake. Hawana ukarimu wa kuachiana njia kama dar. Nimeshawakosa wengi sana na jiji likichanganya wategemee majuto.Jiji la dodoma ni tamu sana ukiwa na usafir binafs
HahaHii nimeshangaa sana dodoma, mtu anaweza kusimamisha gari barabarani na akaenda dukani kununua Maji au hata chochote na akarudi na kuendelea huku nyuma yake gari nyingine zikisubiri. Yani watu hawana haraka kabisa, hii ndio dodoma bana
Huu ni upotoshaji.Hii nimeshangaa sana dodoma, mtu anaweza kusimamisha gari barabarani na akaenda dukani kununua Maji au hata chochote na akarudi na kuendelea huku nyuma yake gari nyingine zikisubiri. Yani watu hawana haraka kabisa, hii ndio dodoma bana
Dar.. inazidi Kukua.. ule mpng wa kuendeleza Majiji.. umesaidia sana mji unajengeka.. uzur wa Dar watu WACHAKARIKAJI.. so pesa inazunguka mnoMimi sijui kwa nini waliamua kuhamishia serikali dodoma wakati sasa hivi tuna mamabo ya serikali mtandao.Mawazo ya miaka ya 70 unaleta karne ya 21 unasema ni ndoto ya mwalimu Nyerere.DODOMA haiwezi kukua sana sana tumeiua Dar es Salama
Unatembea kutoka mjini hadi Nkuhungu? 😵😵Watu wangekua wanayawahi magepu kama ni hivyo. Wakazi wa dododma hawana uzoefu na usafiri wa umma kwakua mazoea yakutembea imekua kama jadi..
Kingine kwa wanaokaa maeneo ya karibu na mjini wanatumia bodaboda maan gharama yake ni nafuu sana kuliko gharama yakulisubiri daladala lijae.
Tunakoma root ndefu zisizo na means yakutembea na ni gharama kwa private mfano nane nane benjamini na msalato mpaka st gema.
Ila kwa sisi wa Nkuhungu nikifika bahiroad tuu sijaona daladala nikizama katikati area A nikiibuka Chinangali west home hii hapa.
Hakuna dereva wakuwachelewesha watu maksudi, kubali kataa njiani wakipanda wengi watu watano hiyo ni mormal.
Tulishatoka sabasaba / Udom kipindi ya likizo walishuka watu watatu tuu na hatukupakia mtu mpaka kwa Mkpa.
Dar inakua kwenda wapi? Maana hapo ilipo imeshajaaDar.. inazidi Kukua.. ule mpng wa kuendeleza Majiji.. umesaidia sana mji unajengeka.. uzur wa Dar watu WACHAKARIKAJI.. so pesa inazunguka mno
Ni kweli inakua/imepumua baada ya kuondoa magari ya serikali na watumishi wa umma angalau upepo na hali ya hewa imetuliaDar.. inazidi Kukua.. ule mpng wa kuendeleza Majiji.. umesaidia sana mji unajengeka.. uzur wa Dar watu WACHAKARIKAJI.. so pesa inazunguka mno
Hahah.. kwanza huko kuna Madereva au upuuz tu.. Mie nawaangaliaga wanavyofany ujinga nacheka kimoyo moyo.. wacha waje Dsm wafweShida inakuja kwa madereva wazawa wa Dodoma wanaushamba wa kukomaa na site yake. Hawana ukarimu wa kuachiana njia kama dar. Nimeshawakosa wengi sana na jiji likichanganya wategemee majuto.
Mambo mengi kama yapi hayo?Hiki kimkoa kuwa jiji bado sanaaaaa, wame force tuu... Mambo mengi yako very local....
Sure..Hiki kimkoa kuwa jiji bado sanaaaaa, wame force tuu... Mambo mengi yako very local....