GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,793
Kuna Mmoja hata Mfumo wake tu wa Elimu ni mbovu ( japo ni Tajiri kwa Ushirikina na Utapeli ) wake halafu naturally tu ni Fool nimeona kachukua Fomu ya Kugombea Uspika.
Kuna mwingine Kwanza ana miaka 26 tu halafu 'hajasapua' bado 'Sapu' zake za Chuo Kikuu anachosoma na hata kuandika tu Chapter One hadi Chapter Three ya Research Proposal yake hawezi na hajajua huku akiwa hana hata Rekodi ya Uongozi kutokea Shuleni kwa mshangao kabisa na chenyewe Kimejichukulia Fomu ya Kugombea huo Uspika.
Na wa mwisho Wana CCM wengi wanamjua ni 'Mdangaji' mkubwa na miaka kadhaa alinusurika Kufamaniwa na Mume wa Mtu Hotelini Dodoma, Bingwa wa Madeni katika VICOBA vyake Tabata na Tegeta, Elimu yake ni ya Manati ( ya Kuunga unga ) tupu na ni 'very poor in dialogue and debate' na cha Kunisikitisha nae kachukua Fomu ya Kugombea Uspika.
Kuna uwezekano Wajumbe wa CCM wasipokuwa makini Wakatuchagulia Mwendawazimu, Mpuuzi na Danga kuwa Spika na Kumrithi Spika Job Ndugai na ndiyo maana kwa Umakini na Uhakika wangu GENTAMYCINE jana hapa JamiiForums nimesema najua watajitokeza Wengi Kugombea na wapo wengine ninaowaheshimu .
Lakini ( hata hivyo ) Kwangu Mimi kwa Vigezo vingi na Sababu zangu nyingi namuona aliyekuwa Naibu Spika Dk. Tulia Ackson ( Sakho ) ndiye anafaa hivyo apitishwe na wana CCM bila Chuki au Mizengwe dhidi yake na Inshallah / Amen sina wasiwasi ni Yeye ( Dk. Tulia Ackson ) atachaguliwa na kuwa Spika wa Bunge la JMT.
Kuna mwingine Kwanza ana miaka 26 tu halafu 'hajasapua' bado 'Sapu' zake za Chuo Kikuu anachosoma na hata kuandika tu Chapter One hadi Chapter Three ya Research Proposal yake hawezi na hajajua huku akiwa hana hata Rekodi ya Uongozi kutokea Shuleni kwa mshangao kabisa na chenyewe Kimejichukulia Fomu ya Kugombea huo Uspika.
Na wa mwisho Wana CCM wengi wanamjua ni 'Mdangaji' mkubwa na miaka kadhaa alinusurika Kufamaniwa na Mume wa Mtu Hotelini Dodoma, Bingwa wa Madeni katika VICOBA vyake Tabata na Tegeta, Elimu yake ni ya Manati ( ya Kuunga unga ) tupu na ni 'very poor in dialogue and debate' na cha Kunisikitisha nae kachukua Fomu ya Kugombea Uspika.
Kuna uwezekano Wajumbe wa CCM wasipokuwa makini Wakatuchagulia Mwendawazimu, Mpuuzi na Danga kuwa Spika na Kumrithi Spika Job Ndugai na ndiyo maana kwa Umakini na Uhakika wangu GENTAMYCINE jana hapa JamiiForums nimesema najua watajitokeza Wengi Kugombea na wapo wengine ninaowaheshimu .
Lakini ( hata hivyo ) Kwangu Mimi kwa Vigezo vingi na Sababu zangu nyingi namuona aliyekuwa Naibu Spika Dk. Tulia Ackson ( Sakho ) ndiye anafaa hivyo apitishwe na wana CCM bila Chuki au Mizengwe dhidi yake na Inshallah / Amen sina wasiwasi ni Yeye ( Dk. Tulia Ackson ) atachaguliwa na kuwa Spika wa Bunge la JMT.