Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Je, Tanzania yahitaji kubadili mfumo wake wa uchaguzi kuepukana na yaliyoikuta Kenya na Zimbabwe?
Mfumo wa uchaguzi wa Tanzania ni kama mifumo itumikayo Kenya na Zimbabwe. Tunatumia mfumo uitwao First Past the Post. Mfumo huu unatumika na nchi nyingi duniani, ikiwa pamoja na zilizoendelea kama Marekani na Uingereza. Lakini kutokana na 'constitution arrangement' yetu (mfumo wetu wa katiba), sisi tunafanana zaidi na majirani zetu: Kenya na Zimbabwe
Tatizo lilitojitokeza ndani ya mfumo huu hivi karibuni katika nchi zetu jirani ni kushindwaji wa mfumo huu katika kuipa nchi serikali, au serikali yenye uwezo wa kuwahudumia wananchi ipasavyo.
Swali: Je Tanzania inafanya/imefanya nini iweze kujiepusha na tatizo hili? Au twasubiri kukumbwa na janga kabla ya kubadilika!
Mfumo wa uchaguzi wa Tanzania ni kama mifumo itumikayo Kenya na Zimbabwe. Tunatumia mfumo uitwao First Past the Post. Mfumo huu unatumika na nchi nyingi duniani, ikiwa pamoja na zilizoendelea kama Marekani na Uingereza. Lakini kutokana na 'constitution arrangement' yetu (mfumo wetu wa katiba), sisi tunafanana zaidi na majirani zetu: Kenya na Zimbabwe
Tatizo lilitojitokeza ndani ya mfumo huu hivi karibuni katika nchi zetu jirani ni kushindwaji wa mfumo huu katika kuipa nchi serikali, au serikali yenye uwezo wa kuwahudumia wananchi ipasavyo.
Swali: Je Tanzania inafanya/imefanya nini iweze kujiepusha na tatizo hili? Au twasubiri kukumbwa na janga kabla ya kubadilika!