Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Moja ya kitu kinachofanywa na mfumo wa siasa za Tanzania hasa kwa wanasiasa waliopo CCM na serikalini nikubomoa carrier zao na uzuri wao nakuwavisha maovu. Wanazuoni na wanasiasa walioonjeshwa mfumo wa serikali ya Tanzania wote wamebomoka badala yakujijenga zaidi. Ntatoa mifano michache.
Tukimtafuta Sospeter Mhongo katika ramani ya Dunia Toka alipokubali uteuzi na kuamua kuingia rasmi kwenye siasa hatuoni alipopotelea, amefutika nakubaki na CV Safi ya kabla yakuwa mwanasiasa. Baada ya kuingia kwenye siasa amechafuka na anashindwa kujisafisha badala yake ameamua kukaa kimya
Twende kwa Bashiru Ally, mwanazuoni na mchambuzi mahiri wa masuala ya kisiasa. Msomi aliyejitanabaisha kwa umahiri wa hoja na ushauri wa kesho ya Tanzania . Tumtafute wapi mtu huyu kwenye ramani ya wanazuoni wa Africa na hata Tanzania. Ametoweka, amechafuka na anajua wazi kwamba mguu alioingilia hakupaswa kuutumia katika umri alionao. Amefedheeahwa na siasa na kuamua kukaa kimya kwa ajili ya kesho asiyoijua. That's TZ politics
May be tumzungumzie Kabudi, alivyotamba UDSm akapambana bega kwa bega kuikomboa nchi kupitia Katiba mpya. Mara paap wakamwita, akapewa V8 na kukaa viti vya mbele na mfalme nakujiona mfalme na si Tena mwana wa asili ya Tembe. Akawadharau hata wapiga kura nakuridhika kwamba haitaji kura zao kuwa Mbunge. Mfumo umemchezea Leo hii anaogopa viti vya mbele nakuamua kukaa viti vya nyuma karamuni tusiona anavyotafuna. Too late hakuna kujijenga maaana msingi ulioubomoa haijengeki Tena kirahisi.
Tukimwangalia Masele Steven alivyojipambanua kimataifa na alivyozimwa na mtu mmoja tu kwa wivu nakuamini Masele anataka kujijenga beyond that man tayari bila hata Kutumia msingi wa hoja Masele kapotea kwenye ramani ya siasa vinginevyo aishi maisha ya watu si maisha yake.
Wapo vijana kama akina kafulila, Nassary, Mashinji, January, Nape na wengineo wa kariba hii. Wote hawa wamekaa kimya kusubiri zamu yao bila wao kujua muda hausubiri. Unalopaswa kufanya leo ukaacha kulifanya ni vigumu kulifanya kesho.
Kwa mifano hi na mingine mingi utabaini Taifa limejaliwa watu wenye maono lakini wanamezwa na mazingira ya siasa zisizotaka wenye maono bali zimejengwa kwenye misingi ya ukubwa wa umri, ukubwa cheo na ushirikina. Mazingira haya hata angeletwa Mzungu awezi kutoboa vinginevyo aungane na wazee wanavyotaka.
Hivi kwa mfano Januari Leo hii kwanini aonekani kwenye baraza la Mawaziri la Rais ambaye alikuwa bosi wake? Si kwa sababu Rais atambui mchango wake bali nikwasababu mfumo wa wazee ulitamka akae pembeni baada ya kuonekana anamikakati ya wazi kuwa Rais. Badala aachwe ashindane kuipata hiyo nafasi kwa kuijenga Tanzania na kuiacha kesho imshughulikie sisi tumemzima na kumwacha adumaze ubongo na kubaki na ningekuwa Mimi kichwani mwake.
Nimeeleza mengi lakini nataka tutafakari nakuona kama imani tuliyompa Stagomena Tax itadumu? Naamini alipoteuliwa tu ndipo kipenga kilipopigwa katika Jimbo lake kwamba Sasa Ni wakati wakujiandaa kwenda kugombea. Kipenga hiki akikiruhusu kimwongoze atapoteza CV yake ya nyuma na ataungana na akina Kabudi kustaafu siasa kwa fedhea badala ya furaha. Nimwombe mama yetu achange karata zake vyema, ni busara kuwatumikia Watanzania kuliko kuamua kuutumikia mfumo wa siasa ambao Leo hii umewashighulikia wanawake Kama Ndalichako, Tibaijuka, Migiro na watu wa aina hii ambao awali Dunia iliwaamini.
Nikutakie kila la kheri ndugu yangu Stagomena Tax katika kuimarisha au kubomoa carrier yako.
Tukimtafuta Sospeter Mhongo katika ramani ya Dunia Toka alipokubali uteuzi na kuamua kuingia rasmi kwenye siasa hatuoni alipopotelea, amefutika nakubaki na CV Safi ya kabla yakuwa mwanasiasa. Baada ya kuingia kwenye siasa amechafuka na anashindwa kujisafisha badala yake ameamua kukaa kimya
Twende kwa Bashiru Ally, mwanazuoni na mchambuzi mahiri wa masuala ya kisiasa. Msomi aliyejitanabaisha kwa umahiri wa hoja na ushauri wa kesho ya Tanzania . Tumtafute wapi mtu huyu kwenye ramani ya wanazuoni wa Africa na hata Tanzania. Ametoweka, amechafuka na anajua wazi kwamba mguu alioingilia hakupaswa kuutumia katika umri alionao. Amefedheeahwa na siasa na kuamua kukaa kimya kwa ajili ya kesho asiyoijua. That's TZ politics
May be tumzungumzie Kabudi, alivyotamba UDSm akapambana bega kwa bega kuikomboa nchi kupitia Katiba mpya. Mara paap wakamwita, akapewa V8 na kukaa viti vya mbele na mfalme nakujiona mfalme na si Tena mwana wa asili ya Tembe. Akawadharau hata wapiga kura nakuridhika kwamba haitaji kura zao kuwa Mbunge. Mfumo umemchezea Leo hii anaogopa viti vya mbele nakuamua kukaa viti vya nyuma karamuni tusiona anavyotafuna. Too late hakuna kujijenga maaana msingi ulioubomoa haijengeki Tena kirahisi.
Tukimwangalia Masele Steven alivyojipambanua kimataifa na alivyozimwa na mtu mmoja tu kwa wivu nakuamini Masele anataka kujijenga beyond that man tayari bila hata Kutumia msingi wa hoja Masele kapotea kwenye ramani ya siasa vinginevyo aishi maisha ya watu si maisha yake.
Wapo vijana kama akina kafulila, Nassary, Mashinji, January, Nape na wengineo wa kariba hii. Wote hawa wamekaa kimya kusubiri zamu yao bila wao kujua muda hausubiri. Unalopaswa kufanya leo ukaacha kulifanya ni vigumu kulifanya kesho.
Kwa mifano hi na mingine mingi utabaini Taifa limejaliwa watu wenye maono lakini wanamezwa na mazingira ya siasa zisizotaka wenye maono bali zimejengwa kwenye misingi ya ukubwa wa umri, ukubwa cheo na ushirikina. Mazingira haya hata angeletwa Mzungu awezi kutoboa vinginevyo aungane na wazee wanavyotaka.
Hivi kwa mfano Januari Leo hii kwanini aonekani kwenye baraza la Mawaziri la Rais ambaye alikuwa bosi wake? Si kwa sababu Rais atambui mchango wake bali nikwasababu mfumo wa wazee ulitamka akae pembeni baada ya kuonekana anamikakati ya wazi kuwa Rais. Badala aachwe ashindane kuipata hiyo nafasi kwa kuijenga Tanzania na kuiacha kesho imshughulikie sisi tumemzima na kumwacha adumaze ubongo na kubaki na ningekuwa Mimi kichwani mwake.
Nimeeleza mengi lakini nataka tutafakari nakuona kama imani tuliyompa Stagomena Tax itadumu? Naamini alipoteuliwa tu ndipo kipenga kilipopigwa katika Jimbo lake kwamba Sasa Ni wakati wakujiandaa kwenda kugombea. Kipenga hiki akikiruhusu kimwongoze atapoteza CV yake ya nyuma na ataungana na akina Kabudi kustaafu siasa kwa fedhea badala ya furaha. Nimwombe mama yetu achange karata zake vyema, ni busara kuwatumikia Watanzania kuliko kuamua kuutumikia mfumo wa siasa ambao Leo hii umewashighulikia wanawake Kama Ndalichako, Tibaijuka, Migiro na watu wa aina hii ambao awali Dunia iliwaamini.
Nikutakie kila la kheri ndugu yangu Stagomena Tax katika kuimarisha au kubomoa carrier yako.