Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,659
- 12,279
Wadau hamjambo?
Nimekuwa nifuatilia kwa karibu mfumo mzima wa maisha ya wanawake wengi hapa Tz hasa wale wanaojiita wa kisasa.
WIGI NA KUWEKA DAWA NYWELE.
Wanawake kwa wasichana wengi wameathirika na mfumo wa kuvaa WIGI na kuweka nywele dawa,madhara yake ni makubwa na mara kadhaa nimeshuhudia wanawake hao wakilalamika kuumwa vichwa kutokana na mizigo ya mawigi iliyo vichwani mwao au kuuguza maumivu yaliyotokana na kuchomwa na mashine za kukaushia nywele pindi wanapoweka dawa.
Huwa najiuiza hizi ni baadhi ya athari za moja kwa moja,vipi kuhusu athari nyingine ambazo huchukua muda kuonekana??
Kama Mungu amekuumba mzuri amini nakuambia hata ukinyoa KIPARA bado utaoneka kuwa mzuri lakini sio kuweka mizigo kichwani inayokunyima raha na kuugulia maumivu makali.
Wengine hata kuwapa haki zao za NDOA waume zao inakuwa SHIDA kwa kuogopa kuharibu nywele zao FEKI.Jiamini mtoto wa kike..!
Kesho nitaendelea na mfumo wa uvaaji wa visuruali vya kubana A.K.A Skin tight unaoleta madhara makubwa kwa wanawake/wasichana wa nchi hii ambao ni mabingwa wa kuiga kila kitu..Tuombe uzima..!
Nimekuwa nifuatilia kwa karibu mfumo mzima wa maisha ya wanawake wengi hapa Tz hasa wale wanaojiita wa kisasa.
WIGI NA KUWEKA DAWA NYWELE.
Wanawake kwa wasichana wengi wameathirika na mfumo wa kuvaa WIGI na kuweka nywele dawa,madhara yake ni makubwa na mara kadhaa nimeshuhudia wanawake hao wakilalamika kuumwa vichwa kutokana na mizigo ya mawigi iliyo vichwani mwao au kuuguza maumivu yaliyotokana na kuchomwa na mashine za kukaushia nywele pindi wanapoweka dawa.
Huwa najiuiza hizi ni baadhi ya athari za moja kwa moja,vipi kuhusu athari nyingine ambazo huchukua muda kuonekana??
Kama Mungu amekuumba mzuri amini nakuambia hata ukinyoa KIPARA bado utaoneka kuwa mzuri lakini sio kuweka mizigo kichwani inayokunyima raha na kuugulia maumivu makali.
Wengine hata kuwapa haki zao za NDOA waume zao inakuwa SHIDA kwa kuogopa kuharibu nywele zao FEKI.Jiamini mtoto wa kike..!
Kesho nitaendelea na mfumo wa uvaaji wa visuruali vya kubana A.K.A Skin tight unaoleta madhara makubwa kwa wanawake/wasichana wa nchi hii ambao ni mabingwa wa kuiga kila kitu..Tuombe uzima..!