mwallu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 6,787
- 4,207
mie sijaathirika asee..halafu nikiacha ndo iweje?.nikate nywele?
NiPM nina dawa kwa watu amlioathirika na matumizi ya dawa za nywele na mo tayari kuacha kutumia hizo dawa.
Hakuna gharama yeyote kwa ajili ya hiyo dawa. Tiba Mbadala..!