Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,193
- 4,661
Kamera hizo za kisasa zimenunuliwa na Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dkt John Pombe Magufuli zinauwezo wa kufanya kazi kwenye mazingira yeyote kwa kurekodi matukio wakati wa Mvua, Vumbi, Mchana na Usiku pamoja na kumtambua Mhalifu!