We mfumo huu ulianza kufanyiwa kazi enzi za jk Magufuri amekuta kila kitu tayariHuu mfumo ni mzuri kwa kweli yaani serikali inakusanya we hebu fikiri ile 500/= tunayolipa kwa Loss Report kwa nchi nzima inapitia humo,zamani zilikuwa zinapigwa tuu hapo ndio ninapomvulia kofia JPM jamaa kichwa