Habari za leo wanajamvi, pole na majukumu ya kila siku ya kulijenga Taifa letu.
Nashauri wanafunzi wasome kuanzia darasa la 1 & 6, na wafundishe masomo matatu tu. Yaani Hisabati, Sayansi na Lugha.
Na wahakikishe wanapowafundisha wanafunzi mfano somo la Hisabati, wajitahidi wawe wameandaa karakana au chumba maalumu kilichojaa zana za kufundisha na kujifunzia Hisabati kwa kila level.
Somo la Sayansi vile vile waandae vitabu vya kutosha kwa maana kiada na ziada, zana zote za kisayansi kwa kila level na wanafunzi wapewe muda wa kutosha kwenda kwenye karakana hizo kukifunza na wao kujaribu kutengeneza zana zao nazo zitunzwe ziwe Ni sehemu ya kumbu kumbu.
Na kwa somo la Lugha vile vile wawe na zana za kutosha kufundisha na kujifunzia. Baada ya hapo wanafunzi watumie muda mwingi Sana kwenye kutenda kuliko nadharia.
Baada ya kumaliza mwanafunzi aseme yeye angependa anataka asomee Nini lakini kwa kuzingatia na ufaulu kwenye masomo yake hapo anaweza kusaidiwa na wazazi pia mwalimu wake. Kwa maana Kwanza akifika form one kule aende kuspecialize kwenye somo mojawapo kati ya Yale masomo matatu achague moja tu.
Na o level wanafunzi nashauri wangesoma miaka 3 tu. Na huko tuzingatie mwanafunzi atende zaidi kuliko nadharia maana kwamba zile karakana ziwe na zana za kutosha kwa mwanafunzi kujifunza.
Akimaliza aende Advance mwaka mmoja tu huku akiendelea kuspecialize kile anachokipenda kwa kufanyia practical za kutosha.
Mwisho mwanafunzi aende chuo huko atasomea kile ambacho ana msingi mzuri was kutoka chini. Huko chuo atasoma miaka kulingana na ugumu wa kozi husika huko akiendelea na vitendo zaidi kuliko nadharia.
Mimi nakuhakikishia huyu mwanafunzi akimaliza shule, chuo hawezi akarudi mtaani akawa hajui Cha kufanya. Naamini ikitolewa Elimu ya Aina hii tunaweza kupunguza utegemezi kwenye jamii kwa kiwango kikubwa Sana kuliko ilivyo Sasa. Vijana wataweza kujiajiri, kuajirika kiurahisi lakini ubunifu na ugunduzi kwenye jamii yetu utaongezeka Sana.
Mwisho tutakuwa na jamii Bora iliyokombolewa.
Naomba kuwasiliana.
Nashauri wanafunzi wasome kuanzia darasa la 1 & 6, na wafundishe masomo matatu tu. Yaani Hisabati, Sayansi na Lugha.
Na wahakikishe wanapowafundisha wanafunzi mfano somo la Hisabati, wajitahidi wawe wameandaa karakana au chumba maalumu kilichojaa zana za kufundisha na kujifunzia Hisabati kwa kila level.
Somo la Sayansi vile vile waandae vitabu vya kutosha kwa maana kiada na ziada, zana zote za kisayansi kwa kila level na wanafunzi wapewe muda wa kutosha kwenda kwenye karakana hizo kukifunza na wao kujaribu kutengeneza zana zao nazo zitunzwe ziwe Ni sehemu ya kumbu kumbu.
Na kwa somo la Lugha vile vile wawe na zana za kutosha kufundisha na kujifunzia. Baada ya hapo wanafunzi watumie muda mwingi Sana kwenye kutenda kuliko nadharia.
Baada ya kumaliza mwanafunzi aseme yeye angependa anataka asomee Nini lakini kwa kuzingatia na ufaulu kwenye masomo yake hapo anaweza kusaidiwa na wazazi pia mwalimu wake. Kwa maana Kwanza akifika form one kule aende kuspecialize kwenye somo mojawapo kati ya Yale masomo matatu achague moja tu.
Na o level wanafunzi nashauri wangesoma miaka 3 tu. Na huko tuzingatie mwanafunzi atende zaidi kuliko nadharia maana kwamba zile karakana ziwe na zana za kutosha kwa mwanafunzi kujifunza.
Akimaliza aende Advance mwaka mmoja tu huku akiendelea kuspecialize kile anachokipenda kwa kufanyia practical za kutosha.
Mwisho mwanafunzi aende chuo huko atasomea kile ambacho ana msingi mzuri was kutoka chini. Huko chuo atasoma miaka kulingana na ugumu wa kozi husika huko akiendelea na vitendo zaidi kuliko nadharia.
Mimi nakuhakikishia huyu mwanafunzi akimaliza shule, chuo hawezi akarudi mtaani akawa hajui Cha kufanya. Naamini ikitolewa Elimu ya Aina hii tunaweza kupunguza utegemezi kwenye jamii kwa kiwango kikubwa Sana kuliko ilivyo Sasa. Vijana wataweza kujiajiri, kuajirika kiurahisi lakini ubunifu na ugunduzi kwenye jamii yetu utaongezeka Sana.
Mwisho tutakuwa na jamii Bora iliyokombolewa.
Naomba kuwasiliana.