Achahasira
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,213
- 214
ndugy wana jf mimi nimesoma elimu ya kibongo na ya kingereza nimeina tofauti kubwa sana kwenye kumjenga mwanafunzi.nyie wakuu muna onaje tubadilushe mfumo au?
ndugy wana jf mimi nimesoma elimu ya kibongo na ya kingereza nimeina tofauti kubwa sana kwenye kumjenga mwanafunzi.nyie wakuu muna onaje tubadilushe mfumo au?
<br />------<br />
My friend, watoto wetu wanakuwa overloaded na syllabus za ajabu. Wanakariri na kuimba kama kasuku...kwa wanaoweza. hivyo wanakariri lakini hawaelewi. Kumbuka enzi za Nyerere.....tulifundishwa vitu vya msingi, step by step.....ukiona syllabus ya primary sasa ni kama ya form four au form six......walimu wenyewe hawawezi kuifuata, kwani watunzi wa vitabu wana copy na ku paste...alimradi wauze vitabu kwa nguvu ya udikteka wa kidola......kama blackmail vile.. INASIKITISHA SANA. Kurasa, pages, drawings, paragraphs ziko soooooo weird, utashangaa. sijui syllabus hii wameitoa wapi, ya Illahi. Please eneza blog hii hata kwa email mpaka wadua, na hano wauza vitabu wenyewe waipate....watunga vitabu vya copy na paste
<br />Yawezekana isiwe ya kisasa bali ikawa ni elimu inayomlenga mtu kujitegemea na kushindana popote pale<br />
<br />
Isiwe hii ya masomo 10 primary na bado uelewa kwa watoto unapungua siku kwa siku,wingi wa masomo si hoja ishu ni content ya masomo yenyewe...mboma sie tulisoma masomo 7 primary na bado tulikuwa fiti na bado tuko fiti hata leo?
Aliyeanzisha thread hii amesema amesoma elimu ya kibongo na ya kiingereza (natumai ni ya Uingereza). Basi angetwambia tofauti alizoziona kutokana na uzoefu wake ili tupate mahali pa kuanzia mjadala. Je, elimu ya Waingereza inawatayarishaje kukabiliana namaisha? Hao tuliowaona juzi mitaani wakifanya vurugu wametayarishwa vipi na hiyo elimu? Nachokoza tu.Ukitaka kujua elimu yetu mtata na siyo ya kisasa, labda ya kisiasa, andaa mdahalo waalike hao Dot.com usikie lugha zao zitakazotumika, hadi utadai english plissshiiii, ndiyo utajua elimu yetu ilivyoangamia. tatizo la lugha sasa linazidi hata la hisabati na masomo ya sayansi