Mfumo wa choo na sababu za magonjwa katika familia

LellozWho

Member
Jul 13, 2021
89
121
Sababu kubwa ya magonjwa Kama UTI, SKIN COMPLICATIONS kutoisha katika maisha yetu ya kila siku

NB: Kudhani chooni ni mahali pachafu/kinyaa na mpaka kufikia point kwenda na ndala au viatu ni ugonjwa wa a kili.

MIMI SINA UJUZI WA UFUNDI
Nimejifunza mfumo wa Choo katika makazi yetu hata hasa nyumbani ni sababu kubwa kuleta haya matatizo.

katika Choo kuna sehem ya
1/ Sink(kwa usafi wa mikono/meno nk).
2/Sehemu ya “commode”(haja kubwa/ndogo)
3/Shower/Kuogea.

8CB0635E-0A88-4791-8207-247A2D939083.jpeg


KOSA KUBWA.
Mfumo wa ujenzi kwa tanzania tumeshindwa kutofautisha sehem gani haitakiwi kua mbichi Kati ya nilizotaja hapo juu.

HAITAKIWI kurusu sehem ya Commode/haja kubwa(kukaa au kuchuchumaa) na Sink ya mswaki iwe mbichi Au ILOWE wakati wa kuoga.

BC91622E-2910-4CBA-BFFC-60D44222CB80.jpeg


maji yanaacha hizi sehem Kua mbichi na inaleta Au kuweka urahisi kutengeneza Bacteria

na hapo tunakalia Au kuacha haja ndogo lazima kuna urahisi kupata izo bacterial infection

sink unaacha mswaki
Kwa kifupi ni uchafu wa hali ya juu.

Pia huwezi kuweka Mlango wa mbao na kuacha uloe! Ni akili ya ajabu kwakweli.

na hii haijatoka kwenye vichwa vingi vya “mafundi” na hata wamiliki.

this need to change.
Kwa mtazamo wangu.

Mfano unaofuata ni kuonesha mpangilio sahihi kwa mtazamo wangu.

DD38D930-B617-4BFE-BA11-89C13A050B20.jpeg
26C75922-91B1-4E75-BB40-33ACF50730BA.jpeg
 
Sababu kubwa ya magonjwa Kama UTI, SKIN COMPLICATIONS kutoisha katika maisha yetu ya kila siku

NB: Kudhani chooni ni mahali pachafu/kinyaa na mpaka kufikia point kwenda na ndala au viatu ni ugonjwa wa a kili.

MIMI SINA UJUZI WA UFUNDI
Nimejifunza mfumo wa Choo katika makazi yetu hata hasa nyumbani ni sababu kubwa kuleta haya matatizo.

katika Choo kuna sehem ya
1/ Sink(kwa usafi wa mikono/meno nk).
2/Sehemu ya “commode”(haja kubwa/ndogo)
3/Shower/Kuogea.

View attachment 1861512

KOSA KUBWA.
Mfumo wa ujenzi kwa tanzania tumeshindwa kutofautisha sehem gani haitakiwi kua mbichi Kati ya nilizotaja hapo juu.

HAITAKIWI kurusu sehem ya Commode/haja kubwa(kukaa au kuchuchumaa) na Sink ya mswaki iwe mbichi Au ILOWE wakati wa kuoga.

View attachment 1861495

maji yanaacha hizi sehem Kua mbichi na inaleta Au kuweka urahisi kutengeneza Bacteria

na hapo tunakalia Au kuacha haja ndogo lazima kuna urahisi kupata izo bacterial infection

sink unaacha mswaki
Kwa kifupi ni uchafu wa hali ya juu.

Pia huwezi kuweka Mlango wa mbao na kuacha uloe! Ni akili ya ajabu kwakweli.

na hii haijatoka kwenye vichwa vingi vya “mafundi” na hata wamiliki.

this need to change.
Kwa mtazamo wangu.

Mfano unaofuata ni kuonesha mpangilio sahihi kwa mtazamo wangu.

View attachment 1861519View attachment 1861520
Unataka kusema nini? Skin complications ni ugonjwa gani boss?
 
Unataka kusema nini? Skin complications ni ugonjwa gani boss?
Boss hata “FUNGAL SKIN INFECTIONS” hujui!?
Kuna kitu wanaita “MOLD” naweza ita “UKUNGU”(if I’m not wrong)

Hii inatokea ukioga na kuta za bafu Au Choo/sink kubaki mbichi kwa muda mrefu
Inaweza kukupa mpaka “Pumu” Au hata “skin allergies”

naamini ulishawahi kuona CEILLING BOARD ikiwa imelowa kwasababu ya bati kuvuja!

lile pia tatizo kubwa hasa huathiri mfumo wa hewa. Inaleta pumu Au allergies mbaya.(bytheway hakuna allergies nzuri😄)

bathroom should stay clean and dry most of the time.
 
Back
Top Bottom