FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,039
- 40,701
Ni lazima ubadili, hio ndio utaratibu, usipobadili ni sawa na kumpa mtu namba yako ya siriImagine mtu hata badili na akipoteza si ndo basi
Ni lazima ubadili, hio ndio utaratibu, usipobadili ni sawa na kumpa mtu namba yako ya siriImagine mtu hata badili na akipoteza si ndo basi
Kwanza kabisa, hiyo namba ya siri haihusiani na miamala. Hiyo ukiiweka inaruhusu line kuanza kufanya kazi, ukikosea line haifunguki.
Bado mwenye simu atakua na namba zake za siri kwa ajili ya miamala.
Kwanza kabisa, hiyo namba ya siri haihusiani na miamala. Hiyo ukiiweka inaruhusu line kuanza kufanya kazi, ukikosea line haifunguki.
Bado mwenye simu atakua na namba zake za siri kwa ajili ya miamala.
Hiyo ni namba ya siri ya awali mkuu
Ni rahisi tu kubadili namba za siri.. Nimefanya hivo yangu ya halotel.. Ukiweka laini mpya kwa simu itakuletea ueke pin. Sasa ingiza pin ambazo sio sahihi mara tatu.. Laini itafungwa na kuhitaji kuweka puk. Utaingiza puk iliyopo kwenye cover ya laini yako kisha italeta set new pin kisha una comfirm.. Hivo tuu unakuwa umebadili pin.