Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Sheria inasema, ukipata cheo kipya unatakiwa ukae na hicho cheo Mwaka mmoja ili uweze ku qualify kulipwa pensheni ya cheo kipya endapo utastaafu.
Kuna malalamiko ya Askari Polisi ambao mmoja alikuwa OCS mkuu wa kituo na wengine 5 walikuwa ma major na sajenti ambao walilipwa pensheni kama ifuatavyo: OCS alilipwa pensheni ya meja, sajenti alilipwa pensheni ya kiwango cha koplo.
PSPF mtusaidie kujua kuhusu hili je mlijisahau au kuna sheria nyingine imetumika kwa wachache na wengine wanalipwa sawasawa, je kuna wakati mnajikuta hamna pesa za kutosha ndio mnaamua kufanya hivyo au fafanueni kwanini hili linatokea.
Hawa wanao lipwa pensheni ya chini ya vyeo vyao wote wanasema hawana mikopo na taasisi yoyote ambayo tunaweza tukasema huenda wanadaiwa wakakatwa hapana.
Kuna malalamiko ya Askari Polisi ambao mmoja alikuwa OCS mkuu wa kituo na wengine 5 walikuwa ma major na sajenti ambao walilipwa pensheni kama ifuatavyo: OCS alilipwa pensheni ya meja, sajenti alilipwa pensheni ya kiwango cha koplo.
PSPF mtusaidie kujua kuhusu hili je mlijisahau au kuna sheria nyingine imetumika kwa wachache na wengine wanalipwa sawasawa, je kuna wakati mnajikuta hamna pesa za kutosha ndio mnaamua kufanya hivyo au fafanueni kwanini hili linatokea.
Hawa wanao lipwa pensheni ya chini ya vyeo vyao wote wanasema hawana mikopo na taasisi yoyote ambayo tunaweza tukasema huenda wanadaiwa wakakatwa hapana.