Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 22
Wanajamii,
Kwa kweli nimesikitishwa sana kwa hali ninayoina ikiendelea kwa CHADEMA kuporwa wazi wazi tena bila huruma ushindi wa baadhi ya majimbo.
Sasa ni ushauri wangu tuanzishe mfuko maalum wa kuchangia gharama za kufungua na kuendesha kesi dhidi ya wale mafisadi waliotupora ushindi waziwazi ili haki ya wananchi isipotee bure.
Kwa taarifa nilizonazo, kufungua kesi moja ya uchaguzi inabidi ulipe kiwango cha Sh. 5,000,000/= kama deposit mahakamani of caurse huwa kuna gharama za mawakili za kuendesha kesi hizi pamoja na mashahidi ambao huwa inagharimu fedha za kuwaleta mahakamani kwa ajili ya kutoa ushahidi. So walau kesi moja inaweza kugharimu hadi sh. 10,000,000/=.
Ni wito wangu basi tushirikiane kwa pamoja kujumuisha nguvu zetu ili tuweze kushangisha fedha walau za kukomboa majimbo manne (Segerea, Kilombero, Sumbawanga Mjini na Karagwe....!) ambayo ushindi wake ni dhahiri uligubikwa na wizi wa kimachomacho.
Pamoja tutaweza...! :israel:
Kwa kweli nimesikitishwa sana kwa hali ninayoina ikiendelea kwa CHADEMA kuporwa wazi wazi tena bila huruma ushindi wa baadhi ya majimbo.
Sasa ni ushauri wangu tuanzishe mfuko maalum wa kuchangia gharama za kufungua na kuendesha kesi dhidi ya wale mafisadi waliotupora ushindi waziwazi ili haki ya wananchi isipotee bure.
Kwa taarifa nilizonazo, kufungua kesi moja ya uchaguzi inabidi ulipe kiwango cha Sh. 5,000,000/= kama deposit mahakamani of caurse huwa kuna gharama za mawakili za kuendesha kesi hizi pamoja na mashahidi ambao huwa inagharimu fedha za kuwaleta mahakamani kwa ajili ya kutoa ushahidi. So walau kesi moja inaweza kugharimu hadi sh. 10,000,000/=.
Ni wito wangu basi tushirikiane kwa pamoja kujumuisha nguvu zetu ili tuweze kushangisha fedha walau za kukomboa majimbo manne (Segerea, Kilombero, Sumbawanga Mjini na Karagwe....!) ambayo ushindi wake ni dhahiri uligubikwa na wizi wa kimachomacho.
Pamoja tutaweza...! :israel: