Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,476
- 2,342
Ndugu zanguni wazima?
Kwa kweli nimehamasishwa sana na huyu mfugaji wa kuku wa mayai 120,000. Ningependa kujifunza mambo machache kwake kama ukubwa wa shamba analomiliki, uwezo na ukubwa wa mabanda manne ambayo anatumia kufugia kuku 120,000 (kuku elfu 30 kwa kila banda).
Tafadhali mwenye kuifahamu vizuri hii kampuni ya "GREAT FARM" na maeneo iliyopo naomba anisaidie taarifa zake ili nikajifunze kwa vitendo huko.
Asanteni
Kwa kweli nimehamasishwa sana na huyu mfugaji wa kuku wa mayai 120,000. Ningependa kujifunza mambo machache kwake kama ukubwa wa shamba analomiliki, uwezo na ukubwa wa mabanda manne ambayo anatumia kufugia kuku 120,000 (kuku elfu 30 kwa kila banda).
Tafadhali mwenye kuifahamu vizuri hii kampuni ya "GREAT FARM" na maeneo iliyopo naomba anisaidie taarifa zake ili nikajifunze kwa vitendo huko.
Asanteni