Mfereji wa Panama wafunguliwa

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,140
13,215
160626145713_panama_canal_640x360_bbc_nocredit.jpg

Meli kubwa ya kichina imeanza kupita katika mfereji wa Panama ikifanya safari yake ya kwanza kwenye mferejii huo uliofanyiwa ukarabati wa kuupanua uliochukua karibu miaka kumi.

Maelfu ya watu walipeprusha bendera wakati chombo hicho kinachosheheni zaidi ya mabohari 9,000 kiliingia mfereji huo kikitokea bahari ya Atlantic.

160626150328_panama_line_640x360_bbc_nocredit.jpg

Meli hiyo itachukua saa chache kuvunjika na kuingia bahari ya Pacific ambapo viongozi wanane watahudhuria shere za kufunguliwa kwa mfereji huo wa Panama.

Mradi huo utaongeza mara dufu idadi ya meli wanaopita na kupunguza gharamna ya usafiri wa haharini kwa mabilioni ya dola kila mwaka.


BBC Swahili
 
Kuna project mbadala itakayo leta ushindani mkubwa kwa mfereji wa Panama.

Kampuni moja ya Kichina kutoka Hong Kong wameingia mkataba na Serikali ya Nicaragua kugharimia ujenzi wa mfereji wa maili 173 wa ku join bahari ya Pacific na Karibiani - mfereji huo ukikamilika Panama Canal itapata wakati mgumu kibiashara - Wachina noma sana.

Sijui Amerika italichukulia suala hilo kivipi maanake Wamarekani wame invest sana kwenye mfereji wa PANAMA.
 
Back
Top Bottom