Mfanyakazi wa Ubalozi wa Canada adaiwa kumtemea mate Polisi

Hivi askari wa JWTZ waliompiga traffic kwa kuchelewesha kuruhusu gari lao lipite pale Ubungo (Traffic Lights) miezi michahce iliyopita nao walishikiliwa na polisi au walikuwa kazini?

Hapa Tanzania kuna udhalilishaji mwingi ila ukifanywa na watu fulani ndio unaonekana kuwa mbaya. Mfano, 'former inmate' mmoja alikuwa anasimulia jinsi wanavyodhalilishwa jela eti kwa vile ni wafungwa. Alisema kwa muda ambao amekaa huko walikuwa wakirushwa kichura wakiwa uchi 'at least' mara tatu kwa wiki.

Alichokifanya huyo njemba (Mkanada) ni kibaya na vilevile udhalilishaji mwingine unaofanywa na Watanzania wenzetu ni mbaya pia ila unakuwa kama unafumbiwa macho.

Magobe umenena, hivi tunapiga kelele sana shauri huyu mama ni mzungu au shauri ya tendo lake???? Mmachinga anapopigwa na askari mpaka kuachwa uchi wakati anafanya biashara ya kujikimu yeye na familia yake hatusemi.

Dawa zinapoibiwa hospitali kimchoro na wagonjwa kukosa dawa, je huo sio udhalilishaji, tena huo ni uuaji, tunaangalia tu na kucheka.

Mtu akifanya mchoro na kuleta mitambo ya umeme isiyofaa na kulipwa mahela kibao na kuacha mamia hawana umeme na yeye kuendelea kufaidi, huo sio udhalilishaji. Wala hatupigi kelele.

Kampuni ikipewa ardhi kuchimba madini na nchi kupata 3% twaona ni sawa tu sio udhalilishaji, tunafurahi wala hatusemi.

Wagapi miongoni mwetu tunatukana mahouseboy, mahousegirl, walinzi madereva na mashambaboy, je huo sio udhalilishaji. Tunawachapa viboko, tunawamwagia maji ya moto, tunawachoma na vijinga vya moto, je hivyo vyote sio udhalilishaji shauri vitendo hivyo tunafanyiana watanzania kwa watanzia ndio maana hatulalamiki.

Wangapi miongoni mwetu wana chakula cha ziada na wanansahau kuwa wengine hawana hata chakula, na hicho chakula cha ziada kimetokana na rasilimali za yule ambaye hana, hatusemi, tunakaa kimya tu au shauri ni ngozi nyeusi imefanya hivyo basi huo sio udhalilishaji?????

Wangapi wapo kwenye baridi kali na hawana nguo za kuvaa ( hata mitumba) na sisi tunashindana kuvaa nguo za gharama, kutokana na jasho lao wenyewe.

Ndugu zangu tuamke kama tuko serious udhalilishaji Tanzania uko kila sehemu kuanzia miongoni mwetu, tusiwe na jazba kwa ajili ya rangi au utaifa.

Tutoe vibanzi kwenye macho yetu kwanza.
 
Msaada jamani, Je kumtemea mtu mate ni kosa la jinai Tanzania kama ndio ni kosa chini ya kifungu gani cha sheria???
 
Magobe umenena, hivi tunapiga kelele sana shauri huyu mama ni mzungu au shauri ya tendo lake???? Mmachinga anapopigwa na askari mpaka kuachwa uchi wakati anafanya biashara ya kujikimu yeye na familia yake hatusemi.

Dawa zinapoibiwa hospitali kimchoro na wagonjwa kukosa dawa, je huo sio udhalilishaji, tena huo ni uuaji, tunaangalia tu na kucheka.

Mtu akifanya mchoro na kuleta mitambo ya umeme isiyofaa na kulipwa mahela kibao na kuacha mamia hawana umeme na yeye kuendelea kufaidi, huo sio udhalilishaji. Wala hatupigi kelele.

Kampuni ikipewa ardhi kuchimba madini na nchi kupata 3% twaona ni sawa tu sio udhalilishaji, tunafurahi wala hatusemi.

Wagapi miongoni mwetu tunatukana mahouseboy, mahousegirl, walinzi madereva na mashambaboy, je huo sio udhalilishaji. Tunawachapa viboko, tunawamwagia maji ya moto, tunawachoma na vijinga vya moto, je hivyo vyote sio udhalilishaji shauri vitendo hivyo tunafanyiana watanzania kwa watanzia ndio maana hatulalamiki.

Wangapi miongoni mwetu wana chakula cha ziada na wanansahau kuwa wengine hawana hata chakula, na hicho chakula cha ziada kimetokana na rasilimali za yule ambaye hana, hatusemi, tunakaa kimya tu au shauri ni ngozi nyeusi imefanya hivyo basi huo sio udhalilishaji?????

Wangapi wapo kwenye baridi kali na hawana nguo za kuvaa ( hata mitumba) na sisi tunashindana kuvaa nguo za gharama, kutokana na jasho lao wenyewe.

Ndugu zangu tuamke kama tuko serious udhalilishaji Tanzania uko kila sehemu kuanzia miongoni mwetu, tusiwe na jazba kwa ajili ya rangi au utaifa.

Tutoe vibanzi kwenye macho yetu kwanza.

Mkuu ungeongeza Wamasai kuhamishwa kwa nguvu Loliondo na FFU na kumleta Mwarabu kukalia eneo lao, mpaka na anga yake ikapewa miliki ya UAE bila kwanza kuhakikisha kuwa wanapewa makazi mapya na yanayokubalika kwao. Huu siyo tu ni udhalilishaji ni balaa!
 
Magobe umenena, hivi tunapiga kelele sana shauri huyu mama ni mzungu au shauri ya tendo lake???? Mmachinga anapopigwa na askari mpaka kuachwa uchi wakati anafanya biashara ya kujikimu yeye na familia yake hatusemi.

Dawa zinapoibiwa hospitali kimchoro na wagonjwa kukosa dawa, je huo sio udhalilishaji, tena huo ni uuaji, tunaangalia tu na kucheka.

Mtu akifanya mchoro na kuleta mitambo ya umeme isiyofaa na kulipwa mahela kibao na kuacha mamia hawana umeme na yeye kuendelea kufaidi, huo sio udhalilishaji. Wala hatupigi kelele.

Kampuni ikipewa ardhi kuchimba madini na nchi kupata 3% twaona ni sawa tu sio udhalilishaji, tunafurahi wala hatusemi.

Wagapi miongoni mwetu tunatukana mahouseboy, mahousegirl, walinzi madereva na mashambaboy, je huo sio udhalilishaji. Tunawachapa viboko, tunawamwagia maji ya moto, tunawachoma na vijinga vya moto, je hivyo vyote sio udhalilishaji shauri vitendo hivyo tunafanyiana watanzania kwa watanzia ndio maana hatulalamiki.

Wangapi miongoni mwetu wana chakula cha ziada na wanansahau kuwa wengine hawana hata chakula, na hicho chakula cha ziada kimetokana na rasilimali za yule ambaye hana, hatusemi, tunakaa kimya tu au shauri ni ngozi nyeusi imefanya hivyo basi huo sio udhalilishaji?????

Wangapi wapo kwenye baridi kali na hawana nguo za kuvaa ( hata mitumba) na sisi tunashindana kuvaa nguo za gharama, kutokana na jasho lao wenyewe.

Ndugu zangu tuamke kama tuko serious udhalilishaji Tanzania uko kila sehemu kuanzia miongoni mwetu, tusiwe na jazba kwa ajili ya rangi au utaifa.

Tutoe vibanzi kwenye macho yetu kwanza.

Haya yote tunayajua na tushayalaani vibaya sana.

Umasikini wetu, rushwa yetu, inefficiency yetu, isiwe sababu ya kufumbia macho matusi haya, yawe kutoka ndani au nje.

Kinachozidisha machungu hapa ni kwamba huyu ni mgeni aliyekaribishwa kwa hadhi zote za kidiplomasia, lakini bado kaamua kutukosea heshima.

Kwamba yeye ni mgeni inamaanisha si tu kafanya kosa la kumtemea mate mtu, bali kafanya hivyo nchi ya ugenini, akimaanisha kwamba hajali sheria za nchi aliyomo. Kuna kosa la kutemea mtu mate, halafu kuna kutemea mtu wanchi ya mbali na kwenu iliyokukaribisha kwa hadhi zote za kibalozi.Ndiyo maana unaona watu hawalichukulii hili kama mtu katemewa mate tu, kuna level fulani ya dharau ya kimataifa imetokea hapa, kwa upande wa canada ofisa wa ubalozi, kwa upande wa Tanzania askari wa jamhuri, hawa wote ni watu wa serikali. Kwa hiyo ukiona watu wanaliongelea hili kwa level ya kipekee uelewe hilo, wengine wanaweza kuleta maswali kwamba ubalozi wa Canada umemtuma kutemea mtu mate au nini? Maana huyu ni mwanadiplomasia anaelewa mambo yote ya protokali za nchi, na polisi ni nani, na mwandishi wa habari ni nani. Huyu si mtalii tu ambaye unaweza kusema ni muhuni tu ametoka rehab.

Kwa hiyo chonede chonde, si kweli kwamba hatukemei mabaya yetu wenyewe, angalia thread za leo tu.

Sio kweli kwamba tutakosea tukiliangalia hili katika macho ya kimataifa.

Hata sie tulio nchi za watu ambao sio ma diplomat tunajua kwamba kufuata sheria ni muhimu, na hatuthubutu kumtemea mate hata mtoto mdogo, achilia mbali polisi wa nchi.

Kulikoni huyu muhuni anayeharibu sifa ya ubalozi?
 
Huenda askari kama kawaida yao alikuwa analazimisha apewe vijisenti alijisahau akidhani huyo mtasha ni dereva wa daladala ambao kila wakati hulazimishwa kutoa kitu kidogo
 
I swear siwezi kusubiri kupeleka mzungu kituoni kabla sijamlamba na kumtemea yeye mara tatu aaggh ....

Not me on my dead body..ujinga mtupu never this to happen...to you wtf.
 
Dear,

Kitendo cha huyo afisa wa ubalozi wa Canada ni cha kishenzi na cha uzalilishaji kwa vyombo vya usalama wetu hatua kali zichukuliwe hata kama ana kinga ya kibalozi,kinga iondolewe na ashtakiwe na ubalozi wa Canada uombe radhi kwa jeshi la polisi,kwani hata sisi watanzania tunavumilia kwenye foleni,kitendo hiki kisifumbiwe macho,it is a barbaric act.Poleni sana wanausalama wetu.

Elisante Yona
 
serikali yenyewe inawashobokea sana wageni..angekuwa ndio mbongo kamtemea mate huyo jamaa..(tena angepewa jina la mwekezaji ),mbongo huyo angekuwa tayari yuko segerea anatumikia kifungo cha miaka saba..lakini kwa vile ni mgeni,tena mzungu..hamna kesi hapo!!!!
 
Ushahidi wa mate kwenye fulana na Jerry utakuwepo kweli baada ya masaa machache!?

Klinton Raisi mstaafu wa Marekani yalikutwa manii yake kwenye nguo ya Monica Lewinsk miezi kibao baada ya manii yale kuangukia kwenye nguo ambao Monika aliitunza nguo hiyo, walipochunguza wakathibitisha kwamba ni kweli ni manii yake Clinton. Hata mate hayo yataangaliwa DNA yake na kulinganishwa na mtuhumiwa na wakemia. Afterall, fulana iliyotemewa mate ndiyo iliyohifadhiwa na wala sio mate. Wakitaka wangeweza kuyatunza mate hayo pia kwa uchunguzi zaidi. Tanzania nao wamo bwana.

Leka
 
Kiutaratibu, hakupaswa hata kupelekwa polisi, badala yake alipaswa kupewa 24 hours notice ya kuondoka nchini kama ambavyo wao wanatufanyia tukiwa nchini kwao. Nitaishangaa serikali kama itamchekea, au itaanza kumfungulia mashitaka mahakamani yasiyokuwa na mwelekeo. Afukuzwe!
hivi kafukuzwa kweli au? manake you never know bwana labda yupo
 
nyoka kafukuzwa!!uuuuuuuuuphwww.afadhali nchi yetu imeonesha kuwa watanzania bado tuna thamani,
thanks to canadian gov for protecting our interests.
 
Klinton Raisi mstaafu wa Marekani yalikutwa manii yake kwenye nguo ya Monica Lewinsk miezi kibao baada ya manii yale kuangukia kwenye nguo ambao Monika aliitunza nguo hiyo, walipochunguza wakathibitisha kwamba ni kweli ni manii yake Clinton. Hata mate hayo yataangaliwa DNA yake na kulinganishwa na mtuhumiwa na wakemia. Afterall, fulana iliyotemewa mate ndiyo iliyohifadhiwa na wala sio mate. Wakitaka wangeweza kuyatunza mate hayo pia kwa uchunguzi zaidi. Tanzania nao wamo bwana.

Leka

Sasa ushaambiwa huyu bwana ana diplomatic immunity, uki ichukua hiyo fulana na DNA yake, utailinganisha na nini?
 
13.Dec.2009.

THE Canadian High Commission will repatriate its official, Jean Touchatte, who spat at a traffic police officer and a journalist in Dar es Salaam last week.

"We regret at the incident that took place on Wednesday, December 9, involving one of our officials," reads the press statement released yesterday signed by the Canadian High Commissioner, Mr Robert Orr.

"In the best interest of all involved parties, the Canadian official will be leaving Tanzania at the earliest possible time and will return to Canada," the statement adds.

The official spat to the Traffic Police Corporal Samson and Journalist Jerry Muro of the Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) who were executing their official duties.

The Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation had already condemned Touchatte's misconduct describing it as humiliating, shameful, discreditable and dishonourable.

The official who was the Personal Secretary at the Canadian High Commission had refused to be interrogated by the police until the High Commissioner was around.

The Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation was already considering taking measures against the Canadian official in accordance with diplomatic procedures.

Police in Dar es Salaam have said that the file of Touchatte had been taken to the Director of Criminal Investigations (DCI) for further actions

Source: Daily News.
 
Prosecution for this offense is almost out of the question due to the diplomatic immunity involved. But still, the Canadian High Commission regrets this incident? Where is the apology?

Halafu ningependa kujua huyu mjinga akirudi Canada ataenda kufanya nini.
 
Hii kitu imenikumbusha mwaka jana Wachina pame Shekilango kituoni walimpiga kijana mmoja wa vodacom kama waniga nyoka watanzania wamesimama . Maana wachina walileta shida kubwa sana lakini kosa lilikuwa lao . Mie nikaoga game lote nikaenda polisi nikawabeba na gari langu . Kufika pale kumbe aliye anzisha fujo ndiye mkuu wao mwenye garage pale wakaanza zao . Basi ikabidi tuingie kazini . Mkuu yule alilala ndani na akawekwa karibu na choo na pekee yake maana jamaa wa ndani walitaka kumgombania . Usiku wachina wakabena 500,000 na kumpeleka kibarua mchina kwamba aingie ndani on behalf of his boss . Tukawa makini ili kutoa heshima .Kituoni paliwaka moto jamaa akalala hadi kesho yake saa 7 mchana kwa kosa lile akalipa dola 1000 kesi ikiahsa lakini kalala .Maana alimshambulia kijana wa watu ile mbaya .Na huyu ma Canada anafanya haya anajua Barrick yao nk sl haoni shida .

It is a shame hakika kudharauliwa namna hii .
Itabidi nikumegee points zangu muzee!



EDITED:
I can no longer locate the button. Nahisi MoD wameondoa hii option.
Sorry!
 
Back
Top Bottom