Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,025
- 9,766
Nahitaji mfanyakazi wa stationary ipo maeneo ya wilaya ya kinondoni...
Sifa za muombaji...
1. Umri miaka 21-29
2. Awe mchapa kazi mzuri na muaminifu...
3. Awe anazijua kazi za stationary vizuri.....
4. Awe na uwezo wa kufanya kazi under pressure...
Malipo ni maelewano ....
Mwenye kuhitaji ajira hii ani PM.
Sifa za muombaji...
1. Umri miaka 21-29
2. Awe mchapa kazi mzuri na muaminifu...
3. Awe anazijua kazi za stationary vizuri.....
4. Awe na uwezo wa kufanya kazi under pressure...
Malipo ni maelewano ....
Mwenye kuhitaji ajira hii ani PM.