Mfanyakazi wa Bodi ya Mikopo akamatwa kwa kuingiza Majina hewa na kujipatia ulaji mil 91

Saint hizi hizi alizosoma yule mwingine....nani huyuuu.....?? aaaaah nishamsahau!!!
 
pesa si zinatumwa chuoni? Atazichukuaje wakati zikifika chuoni wanaingiziwa wanafunzi kwenye account zao.

Kwa tanzania taasisi karibu zote zinakosa kitu kinachoitwa business ethics vinginevyo madudu kama haya hayawezi kutokea, mfano kama utaratibu ni pesa anaingiziwa mwanafunzi kwenye akaunti yake, na inafanyika hivyo hakuna mtu anaweza kufoji majina 91 ya benk akaunti

it is a network my friend

ni kama pesa za bima ya afya
 
huwa ndio ipo hivyo itabidi waanze na huyu halafu awataje na wenzake wote kitanzi tutaheshimiana..

awataje wote afu wakabidhiwe kwa wanafunzi,serikal yenyew hii jk,naye yumo i thought,we unafkri atamfanya nn huyo ester!
 
Hili li Nchi cijui vp...Na wanakula kweli kweli kwenye mataasisi ya gvt ....yaani mtu ukichec salary yake na mali alizonazo unaweza zimia....death penalty ipitishwe ukikutwa umekula hata shs 10 ya umma...swain
 
It is possible guys..nilivokuaga first yr 2008..sikupata ada..kuja kufatilia nikakuta ile ada yangu amealoketiwa mtu mwingne ambae ha exist tena kwa kutumia form4 index number yangu..ikabid nilipe tu kuepuka usumbufu wa kuahirisha masomo..ila hawa watu ni wezi tena wanashirikiana na wahasib wa vyuo
 
Rafiki yangu mmoja aliwahi kuniambia hii nchi kila mtu mwizi nikambishia!Sasa naanza kuamini.
 
Hii kitu ni ya siku nyingi sana...Tangu bado ipo chini ya wizara ya sayansi na technolojia chini ya Waziri Ben Mkapa na Dr.Bilal 1993,Kuna ofisa moja na mpaka sasa ameishakuwa Boss katika Bodi hiyo ya mikopo walichokuwa wanafanya kuna wanafunzi fulani wapo karibu naye sana kwa hiyo wanawaingizia kiasi kikubwa kama wamekosea baadaye wanakuja kuzichukua kwao.Kuna rafiki yangu alishawahi kuwekewa kimakosa wakizani ni yule yule waliyemzoea maana majina yalikuwa yanafana ila miaka tofauti.Ilikuwa issue sana kuwapa hiyo pesa.Ila pia wanalink nzuri na maburser wa vyuo husika.
 
tupewe maendeleo ya kesi yake, ili tujue ukweli,

katika shitaka hutaja kiasi cha awali ikiwa ni zaidi ya hapo huongezwa
 
pia mbinu za wizi ni nyingi siku hizi,

mfano katika Benki mtu anaweza akawa anakata sh.10 tu kwa kila mteja wa Benki yake zidisha kwa idadi ya wateja wote nchi nzima x mwezi x mwaka, ukijumlisha utakuta ana mamilioni ya shilingi baada ya muda mfupi. Ni nani mteja wa benki kati yetu akikuta kuna shilingi 10 au 100 au 200 au 300 au 400 au 500 au 1000 zinakosekana katika akaunti yake huwa anahangaika kuuliza benki zimeenda wapi,

kazi ni kubwa kwani wanaoiba ni wasomi wanatumia mbinu za hali ya juu ambao mtu wa kawaida kugundua itamchukua muda mrefu sana
 
mmh tabia mbaya jamani hela hatuna halafu kumbe kuna watu wanakula bataaaaa,, wampeleke pale UDSM akawe chachandu bila ndimu
 
Back
Top Bottom