Ana akili sana sasa anaona wenzie wanakula tuuuu bila yeye kupata mgao. Safi sana
huwa ndio ipo hivyo itabidi waanze na huyu halafu awataje na wenzake wote kitanzi tutaheshimiana..
Duh kweli za mwizi arobaini. Huyu dada ni mtu wa mishemishe sana mwaka juzi nilikutana nae alikua anajenga nyumba mbezi beach, huu mchezo hajaanza leo.
hivi mkulo atakuwa anapiga mabilioni mangapi kama huyu dagaa anajichotea hivi,na naamini sio mara yake ya kwanza,ndio maana zahanati hazijengwi,walimu hawalipwi,form six wenye vigezo kibao wako mitaani kwa kukosa mikopo..m..kw...e.re anakenua meno.
jiulizeni sasa huyu ni mmoja tu
wangapi wameiga kwenye vyeo vya juu na majina ya wangapi yameingizwa pengine na mwanao ameingizwa na ameshalipiwa vyuoni miaka mitatu we unachakachalika aende chuoni ...hizi ndio laana za watanzania lakini nawaambia ayuko pekee na hata ukiuliza vizuri kilichomsibu huyu binti aunguzwe alichomoa kugawa million 45 kwenye uongozi wa juu hii ni mekudokeza tu fwatilia mwenyewe na pengine atatufungua kwa ni navyojua wale njaa mahakimu wala akuna kesi hapo
Huyu akabidhiwe kwa wanafunzi wamwadhibu,huko polisi atahonga atolewe.
Huyu akabidhiwe kwa wanafunzi wamwadhibu,huko polisi atahonga atolewe.
hivi mkulo atakuwa anapiga mabilioni mangapi kama huyu dagaa anajichotea hivi,na naamini sio mara yake ya kwanza,ndio maana zahanati hazijengwi,walimu hawalipwi,form six wenye vigezo kibao wako mitaani kwa kukosa mikopo..m..kw...e.re anakenua meno.
Hasa wanafunzi waliokosa mkopo!
please.naomba jina la Mtuhumiwa,alisoma wapi.mara unasikia kasoma st, st,st tu