Oii
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 3,930
- 3,129
Sio SI unit kwamba ukilifanya peke yako utafanikiwa. Kuna vitu huwezi tusua kivyako vyakoMilioni 100 kwa watu watatu ni hela ndogo mno,kushiriki wizi wa hivyo ni kujitumbukiza shimoni. Tena hela yenyewe hawajaipiga kwa pamoja,wameipiga kidogo kidogo,kuna uwezekano mkubwa mpaka wanakamatwa hawana kitu. Hiyo hela inatakiwa unaipiga mtu mmoja tu,tena kwa pamoja. Ktk maisha yangu nimejifunza sana hii kitu. UKITAKA KUFANIKIWA KATIKA JAMBO LAKO LOLOTE LIFANYE PEKE YAKO.