Mfanyakazi CRDB afikishwa Mahakamani kwa kumuibia mteja zaidi ya Tsh milioni 100 na kuzitakatisha

sasa huyo mwenye account alikuwa hapati sms alert kuwa pesa imetolewa hebu tufafanuliwe kidogo ili tujifunze na haya majanga.
Mwizi na mghushi sahihi ni mtu wa bank, kwani unadhani ye ni fala hata asijue SMS alert? Si una disable tu sms alert the deal done
 
Mwizi na mghushi sahihi ni mtu wa bank, kwani unadhani ye ni fala hata asijue SMS alert? Si una disable tu sms alert the deal done
[/QU
Kama unavyosema ni rahisi kihivyo kuwa mtu ana disable tu rahisi basi tatizo la kiusalama ni kubwa sana, ndio maana nimesema Bank lazima zieleze security control ikoje ile tujuwe pesa zetu ziko salama. Katika shirika lolote security ni top kunanakuwa inazibwa mianya. kwa unayosema ni rahisi hivyo basi hakuna alie salama.
 
Halafu kwanza kwanini haya matukio ya wateja kuibiwa na wanafanya kazi mara nyingi huwa nayaskia tu kwenye hizi Benjamin za kibongo!!? sijui CRDB sijui NBC, sijui NMB etc! Kwanini ni kwenye banks za kibongo tu!? Ni kwamba hizo ndio zina security system mbovu? Au ndio zina wafanya kazi wengi wasiokuwa waadilifu na wenye njaa?

Kwanini matukio kama haya ni nadra sana kuyaskia kwenye hizi international banks kama Barclay's, FNB, Standard chartered, Equity?
hivi kuna taratibu gani kufungua account kwenye hizi international banks?? inabidi tuhame tu
 
Milioni 100 kwa watu watatu ni hela ndogo mno,kushiriki wizi wa hivyo ni kujitumbukiza shimoni. Tena hela yenyewe hawajaipiga kwa pamoja,wameipiga kidogo kidogo,kuna uwezekano mkubwa mpaka wanakamatwa hawana kitu. Hiyo hela inatakiwa unaipiga mtu mmoja tu,tena kwa pamoja. Ktk maisha yangu nimejifunza sana hii kitu. UKITAKA KUFANIKIWA KATIKA JAMBO LAKO LOLOTE LIFANYE PEKE YAKO.
 
Duuhhh!! Bata lote hili Halafu mshaara probably haufiki hata milioni kwa mwezi. Mastermind indeed.

Hapo unakuta kuna vijana wa chuo wakiona maisha yake wanakuwa inspired wanapiga msuli wa kufa mtu hili wapate maGPA makubwa hili waje waajiriwe na wao CRDB.

Naamini hili sio tukio lake kwanza huyu mchizi kupiga hela za wateja.

Hii CRDB na bank zingine za kibongo sio za kuifadhi pesa ndefu kabisa. Ni banks za ovyo sana zenye wafanya kazi wa ovyo.

Binafsi mimi kama nna hela nyingi ni heri nizihifadhi kwenye Netteller au Skiril na sio kuzikabidhi midomoni mwa hawa akina Babu.
netteller ndo nini mkuu, naomba elimu hapo
 
Ndio maana mimi hizi banks zenu za kiswahili nilishazikimbia siku nyingi sana ni heri tu niendelee kuifadhi visenti vyangu kwenye Tigo pesa au Aitel money maana ndio naona kuna uafadhari mwingi kulinganisha na huko NMB.

Mimi kama nitahiji huduma za kibank basi ni Satanbic,FNB na Barclay's basi. Haijalishi hata kama wana tawi moja tu mkoa mzima.

My banking services orientation has been internationally upgraded. Bleep all local banks!
kweli aisee,wana taratibu gani kufungua account??
 
Milioni 100 kwa watu watatu ni hela ndogo mno,kushiriki wizi wa hivyo ni kujitumbukiza shimoni. Tena hela yenyewe hawajaipiga kwa pamoja,wameipiga kidogo kidogo,kuna uwezekano mkubwa mpaka wanakamatwa hawana kitu. Hiyo hela inatakiwa unaipiga mtu mmoja tu,tena kwa pamoja. Ktk maisha yangu nimejifunza sana hii kitu. UKITAKA KUFANIKIWA KATIKA JAMBO LAKO LOLOTE LIFANYE PEKE YAKO.
hata mia yenyewe kwa mtu mmoja ndogo hata nyumba ya maana hujengi
 
Wafanyakazi wengi wa Benki ni kawaida yao.

Mfano, wengi wao wanatumia mbinu ya kuweka akaunti ya mtu kuwa dormant kisha wanaizungusha hiyo hela baadaye wanazirudisha.


Any way, acha wakanyee kopo.
dormant means mtu hawezi toa hela??
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom