Mfanyakazi CRDB afikishwa Mahakamani kwa kumuibia mteja zaidi ya Tsh milioni 100 na kuzitakatisha

Field ya Bank ni ngumu sana kufanya kazi ukiwa si mtu mwenye mikakati binafsi na uadilifu wa hali ya juu.
Nafanya kazi kati Bank nina mwaka wa tatu sasa kwenye International Bank na uzuri zaidi nilianza kazi kama Cashier nilihudumu kwa muda wa mwaka mmoja tu.Kabla ya yote naomba hili litukae akilini kuna tofauti kubwa sana ya controls/procedures kati ya hizi bank za kimataifa na hizi za nyumbani,international bank wamekeza sana kwenye controls na system ambazo zinammbana mfanyakazi asiweze kuathiri pesa za wateja wenzetu wanajali sana reputation yani hata kama ulikuwa una attempt kufanya tukio ambalo lingeigharimu bank hakuna excuse ni mwendo wa TM tu ukasalimie Mwakaleli.
CASHIERS
Hawa ni wafanyakazi muhimu sana kwenye taasisi za kifedha lakini ni watu wanaoongozwa kulipwa mishahara duni na ni wafanyakazi wa daraja la chini hivyo huwafanya wawe na ugonjwa uitwao inferiority complex na wanapojaribu kuprove wrong ndipo hujikuta wamejiingiza kwenye hekaheka kama walizoziainisha wadau hapo juu (wizi,kushirikiana na majambazi n.k).
Nakumbuka nikiwa cashier niliipenda sana hii kazi japo nilijiwekea malengo kwamba sitafanya kwa zaidi ya mwaka natakiwa niwe nime grow sikuwahi kuwa na ndoto ya kuwa na mpira mkali ama mjengo kwani nilijua kwa ule mshahara wangu ungekuwa uongo so nilifanya kazi kwa bidii na uadilifu wa hali ya juu na kuwaheshimu wateja hiyo ilinipa credit na vilevile ukiwa cashier mwaminifu hukosi tip za 10k up to 50k jitahidi sana kuwa mwaminifu sometimes mteja anakuja amezidisha pesa maksudi anaona je utamrudishia?? nilikuwa muoga sana yani bora nihesabu mara kumi kumi lakini niwe na uhakika kuliko kumpunja mteja ama kujipunja mm mwenyewe, vyuma vinakaza kuna muda nilikua nabeba msosi kutoka home though nilichekwa ila nilijali zaidi mipango yangu na sikumaliza mwaka nilipata kazi nyingine.
●SYSTEM AND CONTROLS( Mifumo na taratibu)
International Banks wana mifumo mizuri iko very secured ni ngumu mtu ku access kirahisi, nilishangaa siku moja nimeenda kufungua account kwenye Bank ya bwana BABU nikaona ATM card inatengenezwa na kuwa authrorized na mtu mmoja yani yy mwenyewe ni Maker,checker and authrorizer niliona hili shipa sijawahi kuitumia hyo account hadi leo. Kwenye controls wajaribu kuiga international bank wana kitu inaitwa Duo control hapa inamaana kila kinachofanyika lazima kipitie kwenye mikono ya watu wawili hadi watatu kidogo inaondoa risk ya mtu mmoja mwenye tamaa kufanya yake.Kwa mfano nimesoma gapo juu kuwa mastermind aliprint ATM card, alighushi saini ya mteja hii kitu kwa baadhi ya bank hakiwezekani kabisa kwanza anaetunza card(custodian) ni mtu mwingine,ana initiate process ya kupewa card(maker) mwingine,anaechek kama kweli huyu mteja ni mwenyewe na kila kitu kipo sawa (cheker) ni mtu mwingine na kuna Authrorizer baada ya hawa watatu kufanya yote hayo then mtu wa mwisho ana authrorize mteja kupewa card jamani mchakato wote huo unafanywa within 5mins hii inasaidia zaidi local bank igeni hili muepukane na kadhia mnazowapa wateja wenu.

KIPI KIFANYIKE
Tunafahamu hakuna mshahara unaotosha lakini sector ya mabenk Tanzania local pamoja na international jaribuni kureview salary scale ya wafanyakazi wenu atleast mtu amudu kulipa kodi hata laki mbili kwa mwezi, wapewe trans allowance ili hata kama atajibana in 3yrs amudu hata kununua passo, meal allowance ikiwezekana hata communication allowance jamani wafanyakazi vipato vyetu ni tofauti na mfikiriavyo ninyi ni utanashati tu unatufanya tuonekane tunazo ila mambo sio kivile.
BANKERS acheni tamaa na kutaka kuishi maisha ambayo sio class yako hayo masubaru,crown, mark x bata za kila week end zitatuponza bankers hatuwezi kumudu tusiongopeane tukiforce ndo hayo ya bwana BABU. MUNGU saidia siku nitoke huku.
Mkuu umenena vizuri,,

Ila cha ajabu kuna pipo zitapinga hapa
 
December umeenda Moshi, nikakutana na Maneno ya mama

"Sasa kijana, Mbona we umezubaa,hauoni mtoto wa mzee massawe anavyofanya "

Kesha wajengea wazazi wake pale, amenunua kiwanja na anaendelea na ujenzi goba

Wewe mwaka sasa unapita, hatuoni maendeleo yoyote "

Ukirud ofisin lazima ushawishike kujifanya mastermind
 
Jamaa fala sana sijui aliwaza nini kujiita mastermind hadharani..
December umeenda Moshi, nikakutana na Maneno ya mama

"Sasa kijana, Mbona we umezubaa,hauoni mtoto wa mzee massawe anavyofanya "

Kesha wajengea wazazi wake pale, amenunua kiwanja na anaendelea na ujenzi goba

Wewe mwaka sasa unapita, hatuoni maendeleo yoyote "

Ukirud ofisin lazima ushawishike kujifanya mastermind
 
Field ya Bank ni ngumu sana kufanya kazi ukiwa si mtu mwenye mikakati binafsi na uadilifu wa hali ya juu.
Nafanya kazi kati Bank nina mwaka wa tatu sasa kwenye International Bank na uzuri zaidi nilianza kazi kama Cashier nilihudumu kwa muda wa mwaka mmoja tu.Kabla ya yote naomba hili litukae akilini kuna tofauti kubwa sana ya controls/procedures kati ya hizi bank za kimataifa na hizi za nyumbani,international bank wamekeza sana kwenye controls na system ambazo zinammbana mfanyakazi asiweze kuathiri pesa za wateja wenzetu wanajali sana reputation yani hata kama ulikuwa una attempt kufanya tukio ambalo lingeigharimu bank hakuna excuse ni mwendo wa TM tu ukasalimie Mwakaleli.
CASHIERS
Hawa ni wafanyakazi muhimu sana kwenye taasisi za kifedha lakini ni watu wanaoongozwa kulipwa mishahara duni na ni wafanyakazi wa daraja la chini hivyo huwafanya wawe na ugonjwa uitwao inferiority complex na wanapojaribu kuprove wrong ndipo hujikuta wamejiingiza kwenye hekaheka kama walizoziainisha wadau hapo juu (wizi,kushirikiana na majambazi n.k).
Nakumbuka nikiwa cashier niliipenda sana hii kazi japo nilijiwekea malengo kwamba sitafanya kwa zaidi ya mwaka natakiwa niwe nime grow sikuwahi kuwa na ndoto ya kuwa na mpira mkali ama mjengo kwani nilijua kwa ule mshahara wangu ungekuwa uongo so nilifanya kazi kwa bidii na uadilifu wa hali ya juu na kuwaheshimu wateja hiyo ilinipa credit na vilevile ukiwa cashier mwaminifu hukosi tip za 10k up to 50k jitahidi sana kuwa mwaminifu sometimes mteja anakuja amezidisha pesa maksudi anaona je utamrudishia?? nilikuwa muoga sana yani bora nihesabu mara kumi kumi lakini niwe na uhakika kuliko kumpunja mteja ama kujipunja mm mwenyewe, vyuma vinakaza kuna muda nilikua nabeba msosi kutoka home though nilichekwa ila nilijali zaidi mipango yangu na sikumaliza mwaka nilipata kazi nyingine.
●SYSTEM AND CONTROLS( Mifumo na taratibu)
International Banks wana mifumo mizuri iko very secured ni ngumu mtu ku access kirahisi, nilishangaa siku moja nimeenda kufungua account kwenye Bank ya bwana BABU nikaona ATM card inatengenezwa na kuwa authrorized na mtu mmoja yani yy mwenyewe ni Maker,checker and authrorizer niliona hili shipa sijawahi kuitumia hyo account hadi leo. Kwenye controls wajaribu kuiga international bank wana kitu inaitwa Duo control hapa inamaana kila kinachofanyika lazima kipitie kwenye mikono ya watu wawili hadi watatu kidogo inaondoa risk ya mtu mmoja mwenye tamaa kufanya yake.Kwa mfano nimesoma gapo juu kuwa mastermind aliprint ATM card, alighushi saini ya mteja hii kitu kwa baadhi ya bank hakiwezekani kabisa kwanza anaetunza card(custodian) ni mtu mwingine,ana initiate process ya kupewa card(maker) mwingine,anaechek kama kweli huyu mteja ni mwenyewe na kila kitu kipo sawa (cheker) ni mtu mwingine na kuna Authrorizer baada ya hawa watatu kufanya yote hayo then mtu wa mwisho ana authrorize mteja kupewa card jamani mchakato wote huo unafanywa within 5mins hii inasaidia zaidi local bank igeni hili muepukane na kadhia mnazowapa wateja wenu.

KIPI KIFANYIKE
Tunafahamu hakuna mshahara unaotosha lakini sector ya mabenk Tanzania local pamoja na international jaribuni kureview salary scale ya wafanyakazi wenu atleast mtu amudu kulipa kodi hata laki mbili kwa mwezi, wapewe trans allowance ili hata kama atajibana in 3yrs amudu hata kununua passo, meal allowance ikiwezekana hata communication allowance jamani wafanyakazi vipato vyetu ni tofauti na mfikiriavyo ninyi ni utanashati tu unatufanya tuonekane tunazo ila mambo sio kivile.
BANKERS acheni tamaa na kutaka kuishi maisha ambayo sio class yako hayo masubaru,crown, mark x bata za kila week end zitatuponza bankers hatuwezi kumudu tusiongopeane tukiforce ndo hayo ya bwana BABU. MUNGU saidia siku nitoke huku.
Kwani anaejua mteja si yule aliemfungulia akaunt huyo mkaa na kadi si analiwa timing muda yupo bize na wateja analetewa mteja feki anataka kadi yake,huku anachombezwa na staff mwenzake mwizi ili concentration ipungue aruhusu fasta,pili bank international kama Barclay's imepigwa sana kwa staili hii ya MTU mmoja kutoa kadi tena kila branch yaani akaunti inafunguliwa leo na kadi leo,walikuwa makini na wanasiasa na mambo ya laundering wajanja walioiba mfano mikopo feki mingi na ya hela ndefu kuanzia million 25 waliacha kazi kabla ya marejesho grace period kuisha ,Barclay's walikuja kiboya sana nchi ya vijana wezi wanaotaka mafanikio ya fasta wakanunue gx100 wakati huo
 
Hahah hapo kwny Gx 100 uko sawa kabisaa,miaka ya 2007/08/09 hapo wafanyakazi wa barclays walipiga hela mbaya kabisa na waliacha kazi fasta tu.

Barclays Wakaja tena Kariakoo eti wanatoa mikopo kwa wajasiriamali yaani unalazimishwa kabisaa kuchukua mkopo wa burebure aisee watu walipiga hela hatarii(Loan officers wali-collude na wakopaji).

Miaka hio NPL hapo barclays ilikua inatisha balaa.
Kwani anaejua mteja si yule aliemfungulia akaunt huyo mkaa na kadi si analiwa timing muda yupo bize na wateja analetewa mteja feki anataka kadi yake,huku anachombezwa na staff mwenzake mwizi ili concentration ipungue aruhusu fasta,pili bank international kama Barclay's imepigwa sana kwa staili hii ya MTU mmoja kutoa kadi tena kila branch yaani akaunti inafunguliwa leo na kadi leo,walikuwa makini na wanasiasa na mambo ya laundering wajanja walioiba mfano mikopo feki mingi na ya hela ndefu kuanzia million 25 waliacha kazi kabla ya marejesho grace period kuisha ,Barclay's walikuja kiboya sana nchi ya vijana wezi wanaotaka mafanikio ya fasta wakanunue gx100 wakati huo
 
Hawa ndio wanaohonga IST mtaani tukienda sie tunaonekana kupuku tu
Kwahiyo makonda aliposema IST nizakuhongwa ni kweli? Halafu wanaohongwa ni kina nani jamani mbona wengine mpaka tuna kuwa wahenga hatujawahi kumbana nazo hata kioo hakuna
 
Siyo kweli mkuu wanakula na hawarudishi hata
wanachofanya hao wafanyabiashara na wafanyakazi wa benki wanabeba pesa za wateja wenye pesa ndefu halafu hawana tabia ya kuwithdrawal mara kwa mara, wakishachukua pesa wanazizungusha kwenye biashara halafu baadae wanazirudisha
 
  • Thanks
Reactions: amu
Huyu mtuhumiwa mnamuonyesha wa nini juzi siro alikemea makamanda na huku jf mjifunze kuzuia hizi picha subirini mahakama imtie hatiani mta iweka picha tujifunze utawala wa sheria mgumu sana
Ni watanzania wengi hawajujui madhara ya account za social media kama Facebook, Insta nk. Wanapost picha bila kuzichambua na kukubali ''urafiki'' na mtu yoyote. Wabongo wengi unakuta wana ''marafiki'' eg kwenye Facebook wengi. Madhara yake unawapa watu uhuru wa kutumia picha zako kwa lolote wanaloona linafaa bila kujali kama lina madhara.
 
Cashiers wengi wa matawi ya benki zilizopo Mlimani City ni majambazi NA wana connection NA mitandao ya majambazi.

Nakumbuka Kati ya mwaka 2008 NA 2010, basi LA wanafunzi/coaster la shule moja ya msingi na awali inayomilikiwa na wamisionari likiwa NA wanafunzi ndani, pamoja na mhasibu WA shule akiwa na fedha taslimu takribani shilingi Milioni 30, mishahara ya walimu NA wafanyakazi wengine WA shule, walifuatiliwa na majambazi kutoka hapo Mlimani city walipochukua pesa NA wakaenda kuwa-tight eneo LA Mpakani Mwenge hapo wanapouza vinyago. Bahati nzuri dereva WA basi hilo aliwashitukia hao majambazi mapema, aliwaona kwenye side mirrors wakiwafuatilia KWA mapikipiki, dereva alimuamuru haraka mhasibu kuwa achukue bunda moja la pesa/noti za fedha arushe nje kupitia dirishani ili kuwanusuru wanafunzi wasiuliwe KWA risasi zilizoanza kupigwa NA majambazi hao kuelekea kwenye basi LA wanafunzi
Nini kilitokea baada ya kuzirusha walisalimik vip ndugu
 
Acheni masihara nyie. Kwamba sasa hivi kuna makosa ambayo sululisho lake ni kuomba msamaha tu then you are free!? Hakika kama nchi imefikia hapa basi kuna aja ya kuhama hii nchi niende zangu kuishi hata Cambodia.

Kama unataka kuhama ww hama tu nenda kafanye mambo yako huko kambodia,mnafosi Mzeee kidevu aongeze askari magera mkatulize ugumu wa kushindwa jitafutia mtaani mkaishi free jera jera?
 
Back
Top Bottom