nyantumba
Senior Member
- May 22, 2016
- 166
- 265
Habari za asubuhi wakuu, natafuta mdada wa kazi za nyumbani, mkoa wa Arusha, awe mtu mzima kidogo anayejielewa na ajue kazi zote. nyumba ina watu 4 tu. baba na mama na mabinti wawili wa secondary. mshahara elfu 80 akionekana anajua zaidi itaongezeka Kadri muda unavyosonga.
serious anione DM
serious anione DM