Mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite aua kwa bastola Arusha

LENGIO

JF-Expert Member
Apr 9, 2012
1,096
508
Mfanyabiashara wa madini ya tanzanite Arusha, Felex Manga amempiga risasi mtoto wa kimasai. Wakati akisherehekea kuuziwa shamba na baba yake eneo la Terati siku ya Jumamosi.

Siku ya tukio mtuhumiwa na familia ya aliyemuuzia shamba walifanya sherehe ya kumkabidhi shamba, ndipo mzee mwenye shamba alipomuuliza hivi vitu mnavyovaa kiunoni vinafanyeje kazi?

Ndipo jamaa akachomoa na kupiga juu kazaa bila kujua kuna iliyobaki akamnyooshea kijana kwenye paji la uso na kumtoa uhai, jamaa mpaka muda huu yupo ndani ndugu zake wakihaha kumtoa.
 
Mmmh, balaa nyingine hizi;
sasa naye alikuwa anaonyesha bastola inavyofanya kazi kwa kulenga watu.
Pesa ikiwa nyingi inaleta karaha.

Money is scarce! Money is never enough. pesa nyingi kwako ni kiasi gani mamndenyi?

Huyu wala haina haja ya kufikiria sana kwamba anatumia nini katika kufikiri!

Mtu yeyote anaporuhusiwa kumiliki silaha nadhani huwa anapewa masharti na vigezo ili chombo hicho kisilete madhara...

Huyo bwana hakutumia akili kabisa katika jambo alilofanya, he deserves facing the law.

Tusubiri mrejesho kutoka mahakamani.
 
Ni kulilia tu huyo mtoto wa mkulima aliyekufa;
Mwenye pesa mara nyingi hana kesi.

Money is scarce! Money is never enough. pesa nyingi kwako ni kiasi gani mamndenyi?

Huyu wala haina haja ya kufikiria sana kwamba anatumia nini katika kufikiri!

Mtu yeyote anaporuhusiwa kumiliki silaha nadhani huwa anapewa masharti na vigezo ili chombo hicho kisilete madhara...

Huyo bwana hakutumia akili kabisa katika jambo alilofanya, he deserves facing the law.

Tusubiri mrejesho kutoka mahakamani.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom