Mbarikiwa Mollel
JF-Expert Member
- Jan 13, 2015
- 241
- 49
Atamnyoosheaje mtoto bastola kama sio alikuwa anataka damu ya mtu ili afanikiwe? ni upuuzi kwa sababu anajua idadi ya risasi alizoweka!? natuone hili igizo litaishia wapi..!!
Kijana wa watu kaingia peponi bila kujipanga...very sad!
arusha usela mavi mwingi sana na ubishoo usio na maana
misifa mingine bwana !wanapopewaga hawapewi masharti ya matumizi
Dah!!,Umejuaje ndugu???ww ushafikaga uko peponi???
Money is scarce! Money is never enough. pesa nyingi kwako ni kiasi gani mamndenyi?
Huyu wala haina haja ya kufikiria sana kwamba anatumia nini katika kufikiri!
Mtu yeyote anaporuhusiwa kumiliki silaha nadhani huwa anapewa masharti na vigezo ili chombo hicho kisilete madhara...
Huyo bwana hakutumia akili kabisa katika jambo alilofanya, he deserves facing the law.
Tusubiri mrejesho kutoka mahakamani.
Hivi kwanini Mabillionaire wa Arusha wakatili sana?
Bilionea wa arusha kaua mtu
Mfanyabiashara wa madini ya tanzanite Arusha, Felex Manga amempiga risasi mtoto wa kimasai. Wakati akisherehekea kuuziwa shamba na baba yake eneo la Terati siku ya Jumamosi.
Siku ya tukio mtuhumiwa na familia ya aliyemuuzia shamba walifanya sherehe ya kumkabidhi shamba, ndipo mzee mwenye shamba alipomuuliza hivi vitu mnavyovaa kiunoni vinafanyeje kazi?
Ndipo jamaa akachomoa na kupiga juu kazaa bila kujua kuna iliyobaki akamnyooshea kijana kwenye paji la uso na kumtoa uhai, jamaa mpaka muda huu yupo ndani ndugu zake wakihaha kumtoa.