Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Kumbuka kuwa HSC alitangaza kufirisika na kuifuta kampuni hiyo na kuqnzisha kampuni mpyaManji alikuwa ni mmoja wapo alipata pesa nying kipindi cha JK alikuja Mwendazake akamla kichwa coz ya maadili yake haramu
Swali ni Je, kivipi kama GSM maadili yake haramu ya kipindi cha JK lakini mwendazake na Makonda hawakumgusa kama walivyo fanya kwa Manji