Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Mbeya Joseph Mbilinyi asaini Mkataba wa kusimamia Masuala ya Logistics za kampuni ya Wachina

Sugu angeendelea kuwa mbunge asingepata akili ya kuwekeza fedha alizopata kama kiinua mgongo. Tena ameamua tayari kesha chelewa.

Tanzania kila baada ya miaka mitano, tunatengeneza ma milionea wapya 400 ambao ni wabunge. Badala ya pesa waloyoipata wawekeze kufungua ajira mpya, wanaenda kuhonga wajumbe ili warudi bungeni.

Kukomesha tabia hizi, katiba mpya iweke vigezo vifuatavyo:-

1. Mbunge aruhusiwe kugombea kwa vipindi viwili tu. Akimaliza afanye kazi nyingine.

2. Kwa anayetaka kuendelea, tuweke kigezo cha awe ameajiri watu wasiopungua 500 na wawe wanalipa P.A.Y.E. Hii itasaidia kuongeza uwekezaji.

3. Kwa shughuli za shamba, uvuvi na ufugaji, tuweke sharti la mfano mtu awe analima heka kuanzia 1,000

4. Wasafirisha mazao mfano mtu akiweza kupata soko nje ya nchi, anachukua mazao na anayaprocess na kusafirisha, huyo pia awe na sifa za kuongeza toka 10yrs na kuendelea.

Hapa tutakuwa tumelazimisha badala pesa kuhongwa wajumbe, itumike kufanya uwekezaji.

Sugu hongera sana
Masahihisho : Uwekezaji wa Sugu hautokani na kiinua mgongo cha Bunge , hasa haya masuala ya logistics , huyu kabla ya ubunge alishakuwa na malori ya Scania ya kubeba mizigo
 
Sugu angeendelea kuwa mbunge asingepata akili ya kuwekeza fedha alizopata kama kiinua mgongo. Tena ameamua tayari kesha chelewa.

Tanzania kila baada ya miaka mitano, tunatengeneza ma milionea wapya 400 ambao ni wabunge. Badala ya pesa waloyoipata wawekeze kufungua ajira mpya, wanaenda kuhonga wajumbe ili warudi bungeni.

Kukomesha tabia hizi, katiba mpya iweke vigezo vifuatavyo:-

1. Mbunge aruhusiwe kugombea kwa vipindi viwili tu. Akimaliza afanye kazi nyingine.

2. Kwa anayetaka kuendelea, tuweke kigezo cha awe ameajiri watu wasiopungua 500 na wawe wanalipa P.A.Y.E. Hii itasaidia kuongeza uwekezaji.

3. Kwa shughuli za shamba, uvuvi na ufugaji, tuweke sharti la mfano mtu awe analima heka kuanzia 1,000

4. Wasafirisha mazao mfano mtu akiweza kupata soko nje ya nchi, anachukua mazao na anayaprocess na kusafirisha, huyo pia awe na sifa za kuongeza toka 10yrs na kuendelea.

Hapa tutakuwa tumelazimisha badala pesa kuhongwa wajumbe, itumike kufanya uwekezaji.

Sugu hongera sana
Deep sana hii
 
View attachment 1756858

Hii ndio Taarifa ambayo Mwekezaji Mzalendo Ndugu Mbilinyi ameisambaza kwa vyombo vya habari vya ndani na Nje ya Nchi , wakati akitia Saini Mkataba huo wa kusimamia masuala ya Logistics mbele ya jopo la Wanasheria wake wa Kimataifa na washauri wake wa masuala ya biashara Mjini Iringa

Sugu amesema kwamba ameingia kandarasi hiyo ya mwaka mmoja yenye kipengere cha kuongezwa ikiwa kila upande utaona umuhimu wa kufanya hivyo .

Ni wazi sasa kwamba milango ya uwekezaji iliyoharibiwa kwa miaka 6 inaanza kufunguka na kurudi upya .
Sugu anasaini mkataba wa kuajiriwa hapa si mchezo.......
ubunge atausikia redioni tu...
 
View attachment 1756858

Hii ndio Taarifa ambayo Mwekezaji Mzalendo Ndugu Mbilinyi ameisambaza kwa vyombo vya habari vya ndani na Nje ya Nchi , wakati akitia Saini Mkataba huo wa kusimamia masuala ya Logistics mbele ya jopo la Wanasheria wake wa Kimataifa na washauri wake wa masuala ya biashara Mjini Iringa

Sugu amesema kwamba ameingia kandarasi hiyo ya mwaka mmoja yenye kipengere cha kuongezwa ikiwa kila upande utaona umuhimu wa kufanya hivyo .

Ni wazi sasa kwamba milango ya uwekezaji iliyoharibiwa kwa miaka 6 inaanza kufunguka na kurudi upya .
Kheeee
Nyumbu mmerithi tabia za mataga za kusifia sifia?
 
Nao
View attachment 1756858

Hii ndio Taarifa ambayo Mwekezaji Mzalendo Ndugu Mbilinyi ameisambaza kwa vyombo vya habari vya ndani na Nje ya Nchi , wakati akitia Saini Mkataba huo wa kusimamia masuala ya Logistics mbele ya jopo la Wanasheria wake wa Kimataifa na washauri wake wa masuala ya biashara Mjini Iringa

Sugu amesema kwamba ameingia kandarasi hiyo ya mwaka mmoja yenye kipengere cha kuongezwa ikiwa kila upande utaona umuhimu wa kufanya hivyo .

Ni wazi sasa kwamba milango ya uwekezaji iliyoharibiwa kwa miaka 6 inaanza kufunguka na kurudi

View attachment 1756858

Hii ndio Taarifa ambayo Mwekezaji Mzalendo Ndugu Mbilinyi ameisambaza kwa vyombo vya habari vya ndani na Nje ya Nchi , wakati akitia Saini Mkataba huo wa kusimamia masuala ya Logistics mbele ya jopo la Wanasheria wake wa Kimataifa na washauri wake wa masuala ya biashara Mjini Iringa

Sugu amesema kwamba ameingia kandarasi hiyo ya mwaka mmoja yenye kipengere cha kuongezwa ikiwa kila upande utaona umuhimu wa kufanya hivyo .

Ni wazi sasa kwamba milango ya uwekezaji iliyoharibiwa kwa miaka 6 inaanza kufunguka na kurudi upya .
Naomba kupewa tafsiri ya mwekezaji mzalendo🤔please
 
Sugu angeendelea kuwa mbunge asingepata akili ya kuwekeza fedha alizopata kama kiinua mgongo. Tena ameamua tayari kesha chelewa.

Tanzania kila baada ya miaka mitano, tunatengeneza ma milionea wapya 400 ambao ni wabunge. Badala ya pesa waloyoipata wawekeze kufungua ajira mpya, wanaenda kuhonga wajumbe ili warudi bungeni.

Kukomesha tabia hizi, katiba mpya iweke vigezo vifuatavyo:-

1. Mbunge aruhusiwe kugombea kwa vipindi viwili tu. Akimaliza afanye kazi nyingine.

2. Kwa anayetaka kuendelea, tuweke kigezo cha awe ameajiri watu wasiopungua 500 na wawe wanalipa P.A.Y.E. Hii itasaidia kuongeza uwekezaji.

3. Kwa shughuli za shamba, uvuvi na ufugaji, tuweke sharti la mfano mtu awe analima heka kuanzia 1,000

4. Wasafirisha mazao mfano mtu akiweza kupata soko nje ya nchi, anachukua mazao na anayaprocess na kusafirisha, huyo pia awe na sifa za kuongeza toka 10yrs na kuendelea.

Hapa tutakuwa tumelazimisha badala pesa kuhongwa wajumbe, itumike kufanya uwekezaji.

Sugu hongera sana
Kwa Sugu huo ni muendelezo tu wala hajachelewa
 
Sugu angeendelea kuwa mbunge asingepata akili ya kuwekeza fedha alizopata kama kiinua mgongo. Tena ameamua tayari kesha chelewa.

Tanzania kila baada ya miaka mitano, tunatengeneza ma milionea wapya 400 ambao ni wabunge. Badala ya pesa waloyoipata wawekeze kufungua ajira mpya, wanaenda kuhonga wajumbe ili warudi bungeni.

Kukomesha tabia hizi, katiba mpya iweke vigezo vifuatavyo:-

1. Mbunge aruhusiwe kugombea kwa vipindi viwili tu. Akimaliza afanye kazi nyingine.

2. Kwa anayetaka kuendelea, tuweke kigezo cha awe ameajiri watu wasiopungua 500 na wawe wanalipa P.A.Y.E. Hii itasaidia kuongeza uwekezaji.

3. Kwa shughuli za shamba, uvuvi na ufugaji, tuweke sharti la mfano mtu awe analima heka kuanzia 1,000

4. Wasafirisha mazao mfano mtu akiweza kupata soko nje ya nchi, anachukua mazao na anayaprocess na kusafirisha, huyo pia awe na sifa za kuongeza toka 10yrs na kuendelea.

Hapa tutakuwa tumelazimisha badala pesa kuhongwa wajumbe, itumike kufanya uwekezaji.

Sugu hongera sana
Humjui sugu vizuri
, sugu ni tajiri tokea kitambo binafsi niliyashayashuhudia baadhi ya malori yake mwaka 2004

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
binafsi jamaa sugu,namkubali kwa upambanaji wake,ukiangalia historia yake tangu enzi zile za wananiita sugu!,Hadi leo ..jamaa ana big IQ.japo kiitikadi za siasa Niko against nae.
 
Sugu angeendelea kuwa mbunge asingepata akili ya kuwekeza fedha alizopata kama kiinua mgongo. Tena ameamua tayari kesha chelewa.

Tanzania kila baada ya miaka mitano, tunatengeneza ma milionea wapya 400 ambao ni wabunge. Badala ya pesa waloyoipata wawekeze kufungua ajira mpya, wanaenda kuhonga wajumbe ili warudi bungeni.

Kukomesha tabia hizi, katiba mpya iweke vigezo vifuatavyo:-

1. Mbunge aruhusiwe kugombea kwa vipindi viwili tu. Akimaliza afanye kazi nyingine.

2. Kwa anayetaka kuendelea, tuweke kigezo cha awe ameajiri watu wasiopungua 500 na wawe wanalipa P.A.Y.E. Hii itasaidia kuongeza uwekezaji.

3. Kwa shughuli za shamba, uvuvi na ufugaji, tuweke sharti la mfano mtu awe analima heka kuanzia 1,000

4. Wasafirisha mazao mfano mtu akiweza kupata soko nje ya nchi, anachukua mazao na anayaprocess na kusafirisha, huyo pia awe na sifa za kuongeza toka 10yrs na kuendelea.

Hapa tutakuwa tumelazimisha badala pesa kuhongwa wajumbe, itumike kufanya uwekezaji.

Sugu hongera sana

Fikra Chanya🤔
 
Back
Top Bottom