Waislamu wa MMmasjid Hawa Buguruni wanadai kwamba kuna njama imefanyika kati ya Kanisa na mfanyabiashara mmoja jijini ambaye kauziwa kiwanja kilichokuwa sio mali ya Kanisa ili kuepusha kujengwa msikiti karibu na eneo hilo.
Ingawa mahakama tayari imetoa oda (injunction) ya kusimamisha ujenzi wa Kituo cha Mmafuta kinachojengwa na mfanyabiashara huyo pembeni ya ule mfereji maafufu wa maji machafu pale malapa bado mfanyabiashara huyo anaendelea na ujenzi.
Inavyoonekana ni kuwa mfanyabiashara huyo akitumia maofisa wa juu jijini amekuwa na jeuri na kiburi ya kuendelea na ujenzi huo kwa sababu nyeti za ukaribu wake na wakubwa nchini.
Hivi sasa Waislamu hao wanafuatilia kwa karibu madai yao na ajabu ya kuona amri ya mahakama inadharauliwa na mahakama haichukui hatua zozote!
Ingawa mahakama tayari imetoa oda (injunction) ya kusimamisha ujenzi wa Kituo cha Mmafuta kinachojengwa na mfanyabiashara huyo pembeni ya ule mfereji maafufu wa maji machafu pale malapa bado mfanyabiashara huyo anaendelea na ujenzi.
Inavyoonekana ni kuwa mfanyabiashara huyo akitumia maofisa wa juu jijini amekuwa na jeuri na kiburi ya kuendelea na ujenzi huo kwa sababu nyeti za ukaribu wake na wakubwa nchini.
Hivi sasa Waislamu hao wanafuatilia kwa karibu madai yao na ajabu ya kuona amri ya mahakama inadharauliwa na mahakama haichukui hatua zozote!