Mfanyabiashara Monaban ashikiliwa na Polisi kisa ugomvi wa ardhi

ata hivyo Monaban anamlalamikia mpinzani wake William Taitas (Baraka) ambaye mahakama ilimpa ushindi kwamba hakufuata sheria ya kujitwalia eneo Hilo bila Oda ya mahakama Jambo lililomlazimu monaban kufyatua Risasi hewani ili kuwaondoa walinzi waliowekwa na baraka katika kituo hicho Cha mafuta.
Kuna member alisema watu wamekuwa wanapewa silaha bila kujadiliwa na kamati za ulinzi na usalama za mikoa sasa naamini kweli kuna matumizi mabaya ya madaraka
 
Sheli (shell) walishaondoka tz miaka ya zamani hakunaga shell TZ.
Bora Mkuu umewaambia, watu wanadhani shell ni kituo cha mafuta kwa kiingereza hawajui kama ni jina la kibiashara kama Total, BP, Agip, nk
 
Sasa kwani mahakama ilimpa mshindi kibali cha kwenda kumiliki ardhi na kituo??

Ardhi ni yake ila kituo siyo chake.
Sijui kama sheria inasemaje??
Hizi njaa jamani zitakukosesha vingi.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Mfanyabiashara maarufu jiji la.Arusha Philemon Mollel (Monaban)anashikikiwa na polisi kutokana na ugomvi wa kugombea eneo lililoamuriwa na mahakama.

Monaban alilazimika kufuatia Risasi hewani akipinga kunyang'anywa eneo alilowekeza kituo cha Mafuta baada ya mahakama kutoa hukumu kwamba si Mmiliki halali ,alivamia.

Hata hivyo Monaban anamlalamikia mpinzani wake William Taitas (Baraka) ambaye mahakama ilimpa ushindi kwamba hakufuata sheria ya kujitwalia eneo Hilo bila Oda ya mahakama Jambo lililomlazimu monaban kufyatua Risasi hewani ili kuwaondoa walinzi waliowekwa na baraka katika kituo hicho Cha mafuta.

Imeelezwa kwamba baraka alifika na kumtaka msimamizi wa kituo hicho kumkabidhi Mali zote kwa maandishi iliwemo idadi ya Mafuta yaliyomo kwenye kituo hicho .

Monaban alipata taarifa na kwenda ghafla katika kituo hicho kupinga kitendo hicho na katika majibishano alifyatua Risasi hewani na polisi walifika na kuwakamata wote wawili ambao wamewekwa lokapu kwa mahojiano zaidi.
Ardhi ni yake, na mafuta je? Yake pia?
 
Mfanyabiashara maarufu jiji la.Arusha Philemon Mollel (Monaban)anashikikiwa na polisi kutokana na ugomvi wa kugombea eneo lililoamuriwa na mahakama.

Monaban alilazimika kufuatia Risasi hewani akipinga kunyang'anywa eneo alilowekeza kituo cha Mafuta baada ya mahakama kutoa hukumu kwamba si Mmiliki halali ,alivamia.

Hata hivyo Monaban anamlalamikia mpinzani wake William Taitas (Baraka) ambaye mahakama ilimpa ushindi kwamba hakufuata sheria ya kujitwalia eneo Hilo bila Oda ya mahakama Jambo lililomlazimu monaban kufyatua Risasi hewani ili kuwaondoa walinzi waliowekwa na baraka katika kituo hicho Cha mafuta.

Imeelezwa kwamba baraka alifika na kumtaka msimamizi wa kituo hicho kumkabidhi Mali zote kwa maandishi iliwemo idadi ya Mafuta yaliyomo kwenye kituo hicho .

Monaban alipata taarifa na kwenda ghafla katika kituo hicho kupinga kitendo hicho na katika majibishano alifyatua Risasi hewani na polisi walifika na kuwakamata wote wawili ambao wamewekwa lokapu kwa mahojiano zaidi.
Hapo vip!

Leo majira ya saa kumi na mbili na nusu hapa maeneo ya Ngulelo stand karibu na sehemu panapoitwa Ngulelo empire...risasi zamoto zapigwa baina ya Monoban na watoto wa Titus Mollel.

Tatizo ni kugombania eneo ambalo Monoban aligenga kituo cha mafuta(sheli)..inasemekana Monoban alinunua hilo eneo kwa mmoja wa wananafamilia ya Titus Mollel miaka kadha iliyopita.
Baada ya hapo akafanya investment hapo...baadaye baadhi ya wanawafamilia kutoka kwa familia ya Titis Mollel wakaenda mahakamani kupinga uuzaji wa eneo hilo kwasababu haikushirikishwa familia yote..na eneo ni lafamilia yote..

Familia ya Titus Mollel wakashinda kesi hivyo Monoban anatakia aondoe investment zake ili apishe eneo la wenyewe..hapa ndio timbwiri lilipo anzia.

Kila upande wanakuja na watu wao na kuanza kueushiana risasi
Tunamuomba Kafulila aanze na hili kama mkuu wa Mkoa wa Arusha..


Inaonekana wote ni MOLLEL (MORE RAIL)
so,watajijua
 
Hapo vip!

Leo majira ya saa kumi na mbili na nusu hapa maeneo ya Ngulelo stand karibu na sehemu panapoitwa Ngulelo empire...risasi zamoto zapigwa baina ya Monoban na watoto wa Titus Mollel.

Tatizo ni kugombania eneo ambalo Monoban aligenga kituo cha mafuta(sheli)..inasemekana Monoban alinunua hilo eneo kwa mmoja wa wananafamilia ya Titus Mollel miaka kadha iliyopita.
Baada ya hapo akafanya investment hapo...baadaye baadhi ya wanawafamilia kutoka kwa familia ya Titis Mollel wakaenda mahakamani kupinga uuzaji wa eneo hilo kwasababu haikushirikishwa familia yote..na eneo ni lafamilia yote..

Familia ya Titus Mollel wakashinda kesi hivyo Monoban anatakia aondoe investment zake ili apishe eneo la wenyewe..hapa ndio timbwiri lilipo anzia.

Kila upande wanakuja na watu wao na kuanza kueushiana risasi
Tunamuomba Kafulila aanze na hili kama mkuu wa Mkoa wa Arusha..
Huyo mwanafamilia aliyeuza mali isiyo yake, ameshawekea ndani?
 
Hapo vip!

Leo majira ya saa kumi na mbili na nusu hapa maeneo ya Ngulelo stand karibu na sehemu panapoitwa Ngulelo empire...risasi zamoto zapigwa baina ya Monoban na watoto wa Titus Mollel.

Tatizo ni kugombania eneo ambalo Monoban aligenga kituo cha mafuta(sheli)..inasemekana Monoban alinunua hilo eneo kwa mmoja wa wananafamilia ya Titus Mollel miaka kadha iliyopita.
Baada ya hapo akafanya investment hapo...baadaye baadhi ya wanawafamilia kutoka kwa familia ya Titis Mollel wakaenda mahakamani kupinga uuzaji wa eneo hilo kwasababu haikushirikishwa familia yote..na eneo ni lafamilia yote..

Familia ya Titus Mollel wakashinda kesi hivyo Monoban anatakia aondoe investment zake ili apishe eneo la wenyewe..hapa ndio timbwiri lilipo anzia.

Kila upande wanakuja na watu wao na kuanza kueushiana risasi
Tunamuomba Kafulila aanze na hili kama mkuu wa Mkoa wa Arusha..
Kule kilimanjaro nako mmiliki wa mabasi ya machame safari amejenga kituo cha mafuta kwenye shamba linalomikiwa na yatima wawili na mahakama imetoa hukumu kuwa eneo husika ni mali ya hao yatima. Wimbi la kuvsmia maeneo ya watu na kujenga vituo vya mafuta limeshamiri
 
Hapo vip!

Leo majira ya saa kumi na mbili na nusu hapa maeneo ya Ngulelo stand karibu na sehemu panapoitwa Ngulelo empire...risasi zamoto zapigwa baina ya Monoban na watoto wa Titus Mollel.

Tatizo ni kugombania eneo ambalo Monoban aligenga kituo cha mafuta(sheli)..inasemekana Monoban alinunua hilo eneo kwa mmoja wa wananafamilia ya Titus Mollel miaka kadha iliyopita.
Baada ya hapo akafanya investment hapo...baadaye baadhi ya wanawafamilia kutoka kwa familia ya Titis Mollel wakaenda mahakamani kupinga uuzaji wa eneo hilo kwasababu haikushirikishwa familia yote..na eneo ni lafamilia yote..

Familia ya Titus Mollel wakashinda kesi hivyo Monoban anatakia aondoe investment zake ili apishe eneo la wenyewe..hapa ndio timbwiri lilipo anzia.

Kila upande wanakuja na watu wao na kuanza kueushiana risasi
Tunamuomba Kafulila aanze na hili kama mkuu wa Mkoa wa Arusha..
Ila arusha jamani...unaweza ambiwa mtu fulani tajiri, ukimshuhudia na kujua mali zake sasa

Wanapenda sana utajiri mweeh

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nipo karibu na Njiro kila siku milio ya risasi nasikia.
Hii hali ilipungua sana enzi Za Magu lakini siku hizi zinashamiri matumizi ya silaha
Hizo risasi ni ili kuwakomoa mataga na mwendazake
 
Hapo vip!

Leo majira ya saa kumi na mbili na nusu hapa maeneo ya Ngulelo stand karibu na sehemu panapoitwa Ngulelo empire...risasi zamoto zapigwa baina ya Monoban na watoto wa Titus Mollel.

Tatizo ni kugombania eneo ambalo Monoban aligenga kituo cha mafuta(sheli)..inasemekana Monoban alinunua hilo eneo kwa mmoja wa wananafamilia ya Titus Mollel miaka kadha iliyopita.
Baada ya hapo akafanya investment hapo...baadaye baadhi ya wanawafamilia kutoka kwa familia ya Titis Mollel wakaenda mahakamani kupinga uuzaji wa eneo hilo kwasababu haikushirikishwa familia yote..na eneo ni lafamilia yote..

Familia ya Titus Mollel wakashinda kesi hivyo Monoban anatakia aondoe investment zake ili apishe eneo la wenyewe..hapa ndio timbwiri lilipo anzia.

Kila upande wanakuja na watu wao na kuanza kueushiana risasi
Tunamuomba Kafulila aanze na hili kama mkuu wa Mkoa wa Arusha..
Acha utani boss. Kafulila huyu huyu, au mwingine?
 
Kule kilimanjaro nako mmiliki wa mabasi ya machame safari amejenga kituo cha mafuta kwenye shamba linalomikiwa na yatima wawili na mahakama imetoa hukumu kuwa eneo husika ni mali ya hao yatima. Wimbi la kuvsmia maeneo ya watu na kujenga vituo vya mafuta limeshamiri
Unazungumzia kituo gani cha mafuta mkuu?
 
Unazungumzia kituo gani cha mafuta mkuu?
Mfanyabiashara Maarufu Clemence Mbowe anayemiliki mabasi ya Machame Safari amepata pigo baada ya mahakama kuamuru alipe shilingi Milioni 20 kama fidia kutokana na kuvamia eneo lisilo lake na kuanza ujenzi wa kituo cha mafuta kwa wamiliki halali wa eneo hilo David Kimambo na Donald Kimambo huku mahakama hiyo ikifuta hati ya umiliki wa viwanja vitatu alivyokuwa anavyovimiliki katika eneo hilo lililopo Kiboriloni Moshi.

Msingi wa kufutwa kwa hati hizo ni baada ya kubainika kuwa hakuwa na nyaraka zozote za umilki wa eneo hilo lenye ukubwa wacekari robo eka anavyodiwa kuuziwa mwaka 2008 ambako tayari alikuwa ameanza ujenzi wa k ituo cha mafuta.

Uamuzi wa kufutwa kwa hati ya viwanja hivyo umetolewa hvi karibu na Hakimu Mkazi Mfawidhi Bernizhita Maziku ambaye alikubaliana na hoja zilizomo kwenye rufaa ya wamiliki halali wa eneo hilo David Kimambo na Donald Kimambo.
 
Back
Top Bottom