Taswira
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 1,198
- 447
Mfanyabiashara Maarufu aliyeongoza kampeni za Mbunge wa Arusha Mwaka 2010 Godbless Lema anayefahamika kwa jina la Mboya amenusurika kifo baada ya kuchomewa Nyumba yake usiku wa kuamkia Leo Tar.15.12.2013.
Mboya ndiye mfanyabishara anayetajwa kujitolea kwa hali na Mali kufanikisha ushindi wa lema pale arusha,Lakini Mapema Mwaka 2012 alihamia CCM kutokana na kutofautiana na CHADEMA na pia mikakati hatari aliyokuwa akishiriki ya kuratibu maandamano ya kuvuruga amani jiji la Arusha akishirikiana na uongozi wa CHADEMA Arusha na mbunge mwenyewe kumuingizia hasara kubwa ya biashara zake.
Kwenye mikutano ya CCM Mboya amekuwa akitoa ushuhuda mbalimbali ya mambo kadhaa ambayo lema anayafanya ya kuhujumu uchumi wa Arusha na namna alivyoshiriki vurugu kadhaa akishirikiana na Lema..Vurugu zilizokuwa zinakwenda sambamba na mabo ya kishirikina.
Katika TUKIO LA KUNUSIKA KIFO HII LEO Taarifa kwenye media na hata Sunrise. Zinasema "Mfanyabiashara marufu na Mwanasiasa machachari Mkoa wa Arusha Mr MBOYA anusurika kifo baada ya jaribio la kuchoma nyumba yake kushindikana sanane ya usiku leo, muhusika mkuu(KAMDE) Mkuu wa (RED BRIGADE ARUSHA) Polis wanamtafuta.
Huuu ni mwendelezo wa liletukio la Ofisi za CHADEMA kuchomwa moto ambapo taarifa za awali zinaoneasha wanachadema wao kwa wao ndio wanashikana uchawi kwa kuchoma ofisi zao.
Mods nipotayari kuwapa Ushirikiano kuthibitisha hili.
Mboya ndiye mfanyabishara anayetajwa kujitolea kwa hali na Mali kufanikisha ushindi wa lema pale arusha,Lakini Mapema Mwaka 2012 alihamia CCM kutokana na kutofautiana na CHADEMA na pia mikakati hatari aliyokuwa akishiriki ya kuratibu maandamano ya kuvuruga amani jiji la Arusha akishirikiana na uongozi wa CHADEMA Arusha na mbunge mwenyewe kumuingizia hasara kubwa ya biashara zake.
Kwenye mikutano ya CCM Mboya amekuwa akitoa ushuhuda mbalimbali ya mambo kadhaa ambayo lema anayafanya ya kuhujumu uchumi wa Arusha na namna alivyoshiriki vurugu kadhaa akishirikiana na Lema..Vurugu zilizokuwa zinakwenda sambamba na mabo ya kishirikina.
Katika TUKIO LA KUNUSIKA KIFO HII LEO Taarifa kwenye media na hata Sunrise. Zinasema "Mfanyabiashara marufu na Mwanasiasa machachari Mkoa wa Arusha Mr MBOYA anusurika kifo baada ya jaribio la kuchoma nyumba yake kushindikana sanane ya usiku leo, muhusika mkuu(KAMDE) Mkuu wa (RED BRIGADE ARUSHA) Polis wanamtafuta.
Huuu ni mwendelezo wa liletukio la Ofisi za CHADEMA kuchomwa moto ambapo taarifa za awali zinaoneasha wanachadema wao kwa wao ndio wanashikana uchawi kwa kuchoma ofisi zao.
Mods nipotayari kuwapa Ushirikiano kuthibitisha hili.