Mfanyabiashara maarufu aliyehama chadema anusurika kifo kutoka redbrigade ya chadema

Taswira

JF-Expert Member
Sep 23, 2012
1,198
447
Mfanyabiashara Maarufu aliyeongoza kampeni za Mbunge wa Arusha Mwaka 2010 Godbless Lema anayefahamika kwa jina la Mboya amenusurika kifo baada ya kuchomewa Nyumba yake usiku wa kuamkia Leo Tar.15.12.2013.

Mboya ndiye mfanyabishara anayetajwa kujitolea kwa hali na Mali kufanikisha ushindi wa lema pale arusha,Lakini Mapema Mwaka 2012 alihamia CCM kutokana na kutofautiana na CHADEMA na pia mikakati hatari aliyokuwa akishiriki ya kuratibu maandamano ya kuvuruga amani jiji la Arusha akishirikiana na uongozi wa CHADEMA Arusha na mbunge mwenyewe kumuingizia hasara kubwa ya biashara zake.

Kwenye mikutano ya CCM Mboya amekuwa akitoa ushuhuda mbalimbali ya mambo kadhaa ambayo lema anayafanya ya kuhujumu uchumi wa Arusha na namna alivyoshiriki vurugu kadhaa akishirikiana na Lema..Vurugu zilizokuwa zinakwenda sambamba na mabo ya kishirikina.

Katika TUKIO LA KUNUSIKA KIFO HII LEO Taarifa kwenye media na hata Sunrise. Zinasema "Mfanyabiashara marufu na Mwanasiasa machachari Mkoa wa Arusha Mr MBOYA anusurika kifo baada ya jaribio la kuchoma nyumba yake kushindikana sanane ya usiku leo, muhusika mkuu(KAMDE) Mkuu wa (RED BRIGADE ARUSHA) Polis wanamtafuta.

Huuu ni mwendelezo wa liletukio la Ofisi za CHADEMA kuchomwa moto ambapo taarifa za awali zinaoneasha wanachadema wao kwa wao ndio wanashikana uchawi kwa kuchoma ofisi zao.
Mods nipotayari kuwapa Ushirikiano kuthibitisha hili.
 
Mfanyabiashara Maarufu aliyeongoza kampeni za Mbunge wa Arusha Mwaka 2010 Godbless Lema anayefahamika kwa jina la Mboya amenusurika kifo baada ya kuchomewa Nyumba yake usiku wa kuamkia Leo Tar.15.12.2013.
Mboya ndiye mfanyabishara anayetajwa kujitolea kwa hali na Mali kufanikisha ushindi wa lema pale arusha,Lakini Mapema Mwaka 2012 alihamia CCM kutokana na kutofautiana na CHADEMA na pia mikakati hatari aliyokuwa akishiriki ya kuratibu maandamano ya kuvuruga amani jiji la Arusha akishirikiana na uongozi wa CHADEMA Arusha na mbunge mwenyewe kumuingizia hasara kubwa ya biashara zake.
Kwenye mikutano ya CCM Mboya amekuwa akitoa ushuhuda mbalimbali ya mambo kadhaa ambayo lema anayafanya ya kuhujumu uchumi wa Arusha na namna alivyoshiriki vurugu kadhaa akishirikiana na Lema..Vurugu zilizokuwa zinakwenda sambamba na mabo ya kishirikina.
Katika TUKIO LA KUNUSIKA KIFO HII LEO Taarifa kwenye media na hata Sunrise. Zinasema "Mfanyabiashara marufu na Mwanasiasa machachari Mkoa wa Arusha Mr MBOYA anusurika kifo baada ya jaribio la kuchoma nyumba yake kushindikana sanane ya usiku leo, muhusika mkuu(KAMDE) Mkuu wa (RED BRIGADE ARUSHA) Polis wanamtafuta.
Huuu ni mwendelezo wa liletukio la Ofisi za CHADEMA kuchomwa moto ambapo taarifa za awali zinaoneasha wanachadema wao kwa wao ndio wanashikana uchawi kwa kuchoma ofisi zao.

mods ondoa huu uongo hapa si pahala pake .wewe shetan ni muongo mkubwa sijui unapata faida gani kwa ushenzi wako, yaani nlivo anza tu kuisoma hii habar nkataman nimjue mtumaji nlivo ona ''taswira'' nkaanza kucheka.
 
Mfanyabiashara Maarufu aliyeongoza kampeni za Mbunge wa Arusha Mwaka 2010 Godbless Lema anayefahamika kwa jina la Mboya amenusurika kifo baada ya kuchomewa Nyumba yake usiku wa kuamkia Leo Tar.15.12.2013.
Mboya ndiye mfanyabishara anayetajwa kujitolea kwa hali na Mali kufanikisha ushindi wa lema pale arusha,Lakini Mapema Mwaka 2012 alihamia CCM kutokana na kutofautiana na CHADEMA na pia mikakati hatari aliyokuwa akishiriki ya kuratibu maandamano ya kuvuruga amani jiji la Arusha akishirikiana na uongozi wa CHADEMA Arusha na mbunge mwenyewe kumuingizia hasara kubwa ya biashara zake.
Kwenye mikutano ya CCM Mboya amekuwa akitoa ushuhuda mbalimbali ya mambo kadhaa ambayo lema anayafanya ya kuhujumu uchumi wa Arusha na namna alivyoshiriki vurugu kadhaa akishirikiana na Lema..Vurugu zilizokuwa zinakwenda sambamba na mabo ya kishirikina.
Katika TUKIO LA KUNUSIKA KIFO HII LEO Taarifa kwenye media na hata Sunrise. Zinasema "Mfanyabiashara marufu na Mwanasiasa machachari Mkoa wa Arusha Mr MBOYA anusurika kifo baada ya jaribio la kuchoma nyumba yake kushindikana sanane ya usiku leo, muhusika mkuu(KAMDE) Mkuu wa (RED BRIGADE ARUSHA) Polis wanamtafuta.
Huuu ni mwendelezo wa liletukio la Ofisi za CHADEMA kuchomwa moto ambapo taarifa za awali zinaoneasha wanachadema wao kwa wao ndio wanashikana uchawi kwa kuchoma ofisi zao.

nani yupo zamu coz hii id inatumiwa na masalia group waliojiunga lumumba na kupatiwa mpakato kwaajili ya umbeya na udaku!
 
Redbrigade ina lengo zuri la kulinda chama, tatizo ya vijana wa redbrigade wanayofanya ni kinyume sana, na waliojiunga redbrigade wapo kinyume sana, wengi ni wale vibaka,wezi na majambazi. Tunakoelekea hiki kikundi kitakuwa kama mungiki
 
Redbrigade ina lengo zuri la kulinda chama, tatizo ya vijana wa redbrigade wanayofanya ni kinyume sana, na waliojiunga redbrigade wapo kinyume sana, wengi ni wale vibaka,wezi na majambazi. Tunakoelekea hiki kikundi kitakuwa kama mungiki

Usishangae kwani akili zao zinaongozwa na kinywaji cha gongo na viroba wanavyopewa na k, wao, kujadiliana na watu wa aina hii kunahitaji ujasiri mkubwa na uvumilivu.
 
Redbrigade ina lengo zuri la kulinda chama, tatizo ya vijana wa redbrigade wanayofanya ni kinyume sana, na waliojiunga redbrigade wapo kinyume sana, wengi ni wale vibaka,wezi na majambazi. Tunakoelekea hiki kikundi kitakuwa kama mungiki

grean gud ni washenzi,cheki walivyo mfanyia ushenz m
 
Mfanyabiashara Maarufu aliyeongoza kampeni za Mbunge wa Arusha Mwaka 2010 Godbless Lema anayefahamika kwa jina la Mboya amenusurika kifo baada ya kuchomewa Nyumba yake usiku wa kuamkia Leo Tar.15.12.2013.
Mboya ndiye mfanyabishara anayetajwa kujitolea kwa hali na Mali kufanikisha ushindi wa lema pale arusha,Lakini Mapema Mwaka 2012 alihamia CCM kutokana na kutofautiana na CHADEMA na pia mikakati hatari aliyokuwa akishiriki ya kuratibu maandamano ya kuvuruga amani jiji la Arusha akishirikiana na uongozi wa CHADEMA Arusha na mbunge mwenyewe kumuingizia hasara kubwa ya biashara zake.
Kwenye mikutano ya CCM Mboya amekuwa akitoa ushuhuda mbalimbali ya mambo kadhaa ambayo lema anayafanya ya kuhujumu uchumi wa Arusha na namna alivyoshiriki vurugu kadhaa akishirikiana na Lema..Vurugu zilizokuwa zinakwenda sambamba na mabo ya kishirikina.
Katika TUKIO LA KUNUSIKA KIFO HII LEO Taarifa kwenye media na hata Sunrise. Zinasema "Mfanyabiashara marufu na Mwanasiasa machachari Mkoa wa Arusha Mr MBOYA anusurika kifo baada ya jaribio la kuchoma nyumba yake kushindikana sanane ya usiku leo, muhusika mkuu(KAMDE) Mkuu wa (RED BRIGADE ARUSHA) Polis wanamtafuta.
Huuu ni mwendelezo wa liletukio la Ofisi za CHADEMA kuchomwa moto ambapo taarifa za awali zinaoneasha wanachadema wao kwa wao ndio wanashikana uchawi kwa kuchoma ofisi zao.

Arusha hawadanganyiki buku Saba wewe
 
mods ondoa huu uongo hapa si pahala pake .wewe shetan ni muongo mkubwa sijui unapata faida gani kwa ushenzi wako, yaani nlivo anza tu kuisoma hii habar nkataman nimjue mtumaji nlivo ona ''taswira'' nkaanza kucheka.

hii jf ni ya chadema? Mbona mkifinywa penyewe mnakimbilia kwa mods? Ww ni mpuuzi tu na upuuzwe milele
 
Mfanyabiashara Maarufu aliyeongoza kampeni za Mbunge wa Arusha Mwaka 2010 Godbless Lema anayefahamika kwa jina la Mboya amenusurika kifo baada ya kuchomewa Nyumba yake usiku wa kuamkia Leo Tar.15.12.2013.
Mboya ndiye mfanyabishara anayetajwa kujitolea kwa hali na Mali kufanikisha ushindi wa lema pale arusha,Lakini Mapema Mwaka 2012 alihamia CCM kutokana na kutofautiana na CHADEMA na pia mikakati hatari aliyokuwa akishiriki ya kuratibu maandamano ya kuvuruga amani jiji la Arusha akishirikiana na uongozi wa CHADEMA Arusha na mbunge mwenyewe kumuingizia hasara kubwa ya biashara zake.
Kwenye mikutano ya CCM Mboya amekuwa akitoa ushuhuda mbalimbali ya mambo kadhaa ambayo lema anayafanya ya kuhujumu uchumi wa Arusha na namna alivyoshiriki vurugu kadhaa akishirikiana na Lema..Vurugu zilizokuwa zinakwenda sambamba na mabo ya kishirikina.
Katika TUKIO LA KUNUSIKA KIFO HII LEO Taarifa kwenye media na hata Sunrise. Zinasema "Mfanyabiashara marufu na Mwanasiasa machachari Mkoa wa Arusha Mr MBOYA anusurika kifo baada ya jaribio la kuchoma nyumba yake kushindikana sanane ya usiku leo, muhusika mkuu(KAMDE) Mkuu wa (RED BRIGADE ARUSHA) Polis wanamtafuta.
Huuu ni mwendelezo wa liletukio la Ofisi za CHADEMA kuchomwa moto ambapo taarifa za awali zinaoneasha wanachadema wao kwa wao ndio wanashikana uchawi kwa kuchoma ofisi zao.
alimpa kula ngap?
 
Watu wengi hawajui maana ya uhuru wa kutoa habari... wanadhani kuwa huru nipamoja na kutunga uongo na kupeleka JF
 
Mwigulu bhana kwa porojo!!!Eti kanaajiita Taswira nyambaffffff...
 
Last edited by a moderator:
Redbrigade ina lengo zuri la kulinda chama, tatizo ya vijana wa redbrigade wanayofanya ni kinyume sana, na waliojiunga redbrigade wapo kinyume sana, wengi ni wale vibaka,wezi na majambazi. Tunakoelekea hiki kikundi kitakuwa kama mungiki

Kama wewe ulivyo KINYUME.
Wanakuburuza anticlockwise.
 
Back
Top Bottom