Stop a kidding jokes my frienddaaaah labda alipewa order ya kuzipeleka kibiti mkuranga pwani kwa invisible killers wawe jeshi kamili
(just a kidding jokes)
Wampeleke jeshin ataeleza vizur alizitoa wap hizo sareMfanyabiashara wa Kariakoo, Casto Ngogo (35) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kukutwa na vifaa vya serikali ambavyo ni suruali 5,000 sare za Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Weka bei tafadhaliMfanyabiashara wa Kariakoo, Casto Ngogo (35) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kukutwa na vifaa vya serikali ambavyo ni suruali 5,000 sare za Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Mfanyabiashara wa Kariakoo, Casto Ngogo (35) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kukutwa na vifaa vya serikali ambavyo ni suruali 5,000 sare za Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Get you mkuuStop a kidding jokes my friend
Sometimes u gotta play a little mzee! Unaloliwaza liko sahihi..Uko serious au unamtania?
Ukigaiwa utaivaa?wazitaifishe watugawie wananchi kama walivyofanya wakati wa samaki wa Magufuli na sukari
Jamaa atakuwa anaota mkuu.Mbona unakurupuka ka kaka yako makonda povu lote hilo la nini umeelewa nilicho ongea au mihemko inakusumbua soma upya nilicho andika theni soma upuuzi wako ujifikirie tena sawa dogo
Jamaa atakuwa anaota mkuu.Mbona unakurupuka ka kaka yako makonda povu lote hilo la nini umeelewa nilicho ongea au mihemko inakusumbua soma upya nilicho andika theni soma upuuzi wako ujifikirie tena sawa dogo