mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,203
- 44,651
Ninavyojua.sare za JWTZ UWA WANASHONA WENYEWE.
Samahani lakini hiyo avatar ni wewe??Je umeolewa??Beautiful Nkosazana ni dada yangu mimi wa mama mmoja ila baba mbalimbali
Ni Ndugu yangu so I love her comments
It's a joke kwa kuwa hujui kilichopo nyuma ya pazia,but it could be true.Afuatiliwe huyu anaweza kuwa na uhusiano na wauaji wa Kibiti na Mkuranga.daaaah labda alipewa order ya kuzipeleka kibiti mkuranga pwani kwa invisible killers wawe jeshi kamili
(just a kidding jokes)
It's a joke kwa kuwa hujui kilichopo nyuma ya pazia,but it could be true.Afuatiliwe huyu anaweza kuwa na uhusiano na wauaji wa Kibiti na Mkuranga.
Hata kama sio za JW.Sare 5,000 ni nyingi,ni lazima zina kazi ovu.hizi sio sare za JWTZ
Hahaha..... atakua anataniaUko serious au unamtania?
Hehehe nguo za watu izo mkuu, jamaa ni dobi eti!Weka bei tafadhali
WamekuelewaJWTZ hovyo sana kila Nguo ya combat sare yao
Nasoma UDOMSamahani lakini hiyo avatar ni wewe??Je umeolewa??
Kozi gani na Mwaka wa ngapi binti wa Mlango wa jiraniNasoma UDOM
Big issue kama siyo mitumba.Lakini haina haja ya kuzuia mbona huku mamtoni watu wanavaa hakuna tatizo lolote,pia hata hapo south Afrika watu wanavaa tu na hakuna tatizo lolote,lkn bongo wanafanya kuwa ni big issue.