Mfanyabiashara jijini Mwanza, Pravin Shah anatuhumiwa kuingiza sukari kwa magendo

Nyanswe Nsame

Senior Member
Jul 9, 2019
158
175
Mfanyabiashara jijini Mwanza Pravin Shah anatuhumiwa kuingiza sukari kwa magendo

Mfanyabiashara maarufu jijini Mwanza, Pravin Shah anatuhumiwa kuingiza sukari kwa njia ya magendo na kuiuza kwa bei nafuu.

Shah ambaye ni wakala wa bidhaa mbalimbali anadaiwa kuingiza shehena kubwa ya sukari kwa njia ya magendo kutoka nchi jirani kwa nia ovu ya kukwepa kodi ya Serikali.

Mfanyabiashara huyo kwa muda mrefu amekuwa akiingiza sukari kwa njia ya magendo kukwepa kodi ya Serikali akishirikiana na baadhi ya vyombo vya ulinzi na usalama.

Ukwepaji huo wa kodi, unatajwa kama njia yake ya kuuza sukari kwa bei ya chini huku wafanyabiashara wenzake (mawakala) wakiuza kwa bei ya juu kutokana na kufuata taratibu za uingizaji wa sukari.

Kufuatia tatizo Hilo, ni vyema Serikali kuangalia mwenendo wa biashara za Shah na kuchukua hatua stahiki za kisheria dhidi yake.

Mbali ya sukari Shah pia ni wakala wa saruji, mabati, sabuni, vyombo vya plastiki ambapo ni miongoni mwa bidhaa nyingine huku ofisi zake kuu zikiwa barabara ya nyerere jijini humo.

Wakati huo huo, kiwanda cha nondo cha Sayona still kinachomilikiwa na Shah kinalalamikiwa kwa kuchafua mazingira kwa kutupa vyuma taka ovyo jirani na makazi ya watu.

Inaelezwa kwamba uongozi wa kiwanda hicho ulishaonywa na watalaamu wa afya na mazingira kuondoa vyuma hivyo nje ya kiwanda, lakini mpaka sasa uongozi huo umekaidi agizo hilo la serikali.

Baadhi ya wakazi jirani na kiwanda hicho kwa kipindi kirefu wamekuwa wakilalamika kuhusu uchafuzi huo wa mazingira na wengine wamekuwa wakipeleka malalamiko kwa mamlaka tofauti ili kuchukua hatua kwa kiwanda hicho.

Wananchi hao wanataka vyuma taka hivyo, viondoke kwenye makazi yao ili kuwaondolea hatari ya kiafya inayoweza kusababishwa na vyuma hivyo vinavyotupwa hovyo.
 
Mfanyabiashara jijini Mwanza Pravin Shah anatuhumiwa kuingiza sukari kwa magendo

Mfanyabiashara maarufu jijini Mwanza, Pravin Shah anatuhumiwa kuingiza sukari kwa njia ya magendo na kuiuza kwa bei nafuu.

Shah ambaye ni wakala wa bidhaa mbalimbali anadaiwa kuingiza shehena kubwa ya sukari kwa njia ya magendo kutoka nchi jirani kwa nia ovu ya kukwepa kodi ya Serikali.

Mfanyabiashara huyo kwa muda mrefu amekuwa akiingiza sukari kwa njia ya magendo kukwepa kodi ya Serikali akishirikiana na baadhi ya vyombo vya ulinzi na usalama.

Ukwepaji huo wa kodi, unatajwa kama njia yake ya kuuza sukari kwa bei ya chini huku wafanyabiashara wenzake (mawakala) wakiuza kwa bei ya juu kutokana na kufuata taratibu za uingizaji wa sukari.

Kufuatia tatizo Hilo, ni vyema Serikali kuangalia mwenendo wa biashara za Shah na kuchukua hatua stahiki za kisheria dhidi yake.

Mbali ya sukari Shah pia ni wakala wa saruji, mabati, sabuni, vyombo vya plastiki ambapo ni miongoni mwa bidhaa nyingine huku ofisi zake kuu zikiwa barabara ya nyerere jijini humo.


Wakati huo huo, kiwanda cha nondo cha Sayona still kinachomilikiwa na Shah kinalalamikiwa kwa kuchafua mazingira kwa kutupa vyuma taka ovyo jirani na makazi ya watu.

Inaelezwa kwamba uongozi wa kiwanda hicho ulishaonywa na watalaamu wa afya na mazingira kuondoa vyuma hivyo nje ya kiwanda, lakini mpaka sasa uongozi huo umekaidi agizo hilo la serikali.

Baadhi ya wakazi jirani na kiwanda hicho kwa kipindi kirefu wamekuwa wakilalamika kuhusu uchafuzi huo wa mazingira na wengine wamekuwa wakipeleka malalamiko kwa mamlaka tofauti ili kuchukua hatua kwa kiwanda hicho.

Wananchi hao wanataka vyuma taka hivyo, viondoke kwenye makazi yao ili kuwaondolea hatari ya kiafya inayoweza kusababishwa na vyuma hivyo vinavyotupwa hovyo.

Endeleeni tu kuwapiga vita wafanyabiashara, muda si mrefu mtajikuta hamna hata pesa za kulipa mishahara.
 
Wacha wivu wa kijinga ndugu biashara haifanyiki kwa majungu.

Ongeza bidii kwenye shughuli zako nawe utafanikiwa
Mfanyabiashara jijini Mwanza Pravin Shah anatuhumiwa kuingiza sukari kwa magendo

Mfanyabiashara maarufu jijini Mwanza, Pravin Shah anatuhumiwa kuingiza sukari kwa njia ya magendo na kuiuza kwa bei nafuu.

Shah ambaye ni wakala wa bidhaa mbalimbali anadaiwa kuingiza shehena kubwa ya sukari kwa njia ya magendo kutoka nchi jirani kwa nia ovu ya kukwepa kodi ya Serikali.

Mfanyabiashara huyo kwa muda mrefu amekuwa akiingiza sukari kwa njia ya magendo kukwepa kodi ya Serikali akishirikiana na baadhi ya vyombo vya ulinzi na usalama.

Ukwepaji huo wa kodi, unatajwa kama njia yake ya kuuza sukari kwa bei ya chini huku wafanyabiashara wenzake (mawakala) wakiuza kwa bei ya juu kutokana na kufuata taratibu za uingizaji wa sukari.

Kufuatia tatizo Hilo, ni vyema Serikali kuangalia mwenendo wa biashara za Shah na kuchukua hatua stahiki za kisheria dhidi yake.

Mbali ya sukari Shah pia ni wakala wa saruji, mabati, sabuni, vyombo vya plastiki ambapo ni miongoni mwa bidhaa nyingine huku ofisi zake kuu zikiwa barabara ya nyerere jijini humo.

Wakati huo huo, kiwanda cha nondo cha Sayona still kinachomilikiwa na Shah kinalalamikiwa kwa kuchafua mazingira kwa kutupa vyuma taka ovyo jirani na makazi ya watu.

Inaelezwa kwamba uongozi wa kiwanda hicho ulishaonywa na watalaamu wa afya na mazingira kuondoa vyuma hivyo nje ya kiwanda, lakini mpaka sasa uongozi huo umekaidi agizo hilo la serikali.

Baadhi ya wakazi jirani na kiwanda hicho kwa kipindi kirefu wamekuwa wakilalamika kuhusu uchafuzi huo wa mazingira na wengine wamekuwa wakipeleka malalamiko kwa mamlaka tofauti ili kuchukua hatua kwa kiwanda hicho.

Wananchi hao wanataka vyuma taka hivyo, viondoke kwenye makazi yao ili kuwaondolea hatari ya kiafya inayoweza kusababishwa na vyuma hivyo vinavyotupwa hovyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majungu kwa sasa ndiyo wanafanya mtaji
ACHA WIVU WE MPUUZI 7BU TU UMEJUA KUWA HII SERIKALI HAIWAPENDI MATAJIRI BASI NAWE UMEONA UJIFICHIE HUMO KULETA HUU USHUZI, INAMAANA USALAMA NA POLISI WA MWANZA WALIOWEZA KUKAMATA DHAHABU YA MABILIONI WAMESHINDWA KUMUONA MFANYABIASHARA HUYO HADI WEWE WA MTIMBWILIMBWI UONE? ACHA WIVU WA KISHETANI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mfanyabiashara anashirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kuinginza sukari kwa lengo la kukwepa kodi halafu unasema akamatwe, unamaanisha akamatwe na nani?

Halafu mambo ya kiwanda cha Nondo yameingiaje kwenye hoja ya sukari ya magendo?
Kuna sehemu hapa dar watu wanaingiza bidhaa kimagendooo tena wanapewa na ulinzi juu kutoka kwa wazeeee

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfanyabiashara jijini Mwanza Pravin Shah anatuhumiwa kuingiza sukari kwa magendo

Mfanyabiashara maarufu jijini Mwanza, Pravin Shah anatuhumiwa kuingiza sukari kwa njia ya magendo na kuiuza kwa bei nafuu.

Shah ambaye ni wakala wa bidhaa mbalimbali anadaiwa kuingiza shehena kubwa ya sukari kwa njia ya magendo kutoka nchi jirani kwa nia ovu ya kukwepa kodi ya Serikali.

Mfanyabiashara huyo kwa muda mrefu amekuwa akiingiza sukari kwa njia ya magendo kukwepa kodi ya Serikali akishirikiana na baadhi ya vyombo vya ulinzi na usalama.

Ukwepaji huo wa kodi, unatajwa kama njia yake ya kuuza sukari kwa bei ya chini huku wafanyabiashara wenzake (mawakala) wakiuza kwa bei ya juu kutokana na kufuata taratibu za uingizaji wa sukari.

Kufuatia tatizo Hilo, ni vyema Serikali kuangalia mwenendo wa biashara za Shah na kuchukua hatua stahiki za kisheria dhidi yake.

Mbali ya sukari Shah pia ni wakala wa saruji, mabati, sabuni, vyombo vya plastiki ambapo ni miongoni mwa bidhaa nyingine huku ofisi zake kuu zikiwa barabara ya nyerere jijini humo.

Wakati huo huo, kiwanda cha nondo cha Sayona still kinachomilikiwa na Shah kinalalamikiwa kwa kuchafua mazingira kwa kutupa vyuma taka ovyo jirani na makazi ya watu.

Inaelezwa kwamba uongozi wa kiwanda hicho ulishaonywa na watalaamu wa afya na mazingira kuondoa vyuma hivyo nje ya kiwanda, lakini mpaka sasa uongozi huo umekaidi agizo hilo la serikali.

Baadhi ya wakazi jirani na kiwanda hicho kwa kipindi kirefu wamekuwa wakilalamika kuhusu uchafuzi huo wa mazingira na wengine wamekuwa wakipeleka malalamiko kwa mamlaka tofauti ili kuchukua hatua kwa kiwanda hicho.

Wananchi hao wanataka vyuma taka hivyo, viondoke kwenye makazi yao ili kuwaondolea hatari ya kiafya inayoweza kusababishwa na vyuma hivyo vinavyotupwa hovyo.
Ndiyo bakora za wanaokataa kuchangia dola na chama tawala,akiunga mkono juhudi kwa michango na mahitaji mengine kadri maelekezo hatopata kashkash.
"Muhitaji khanithi lau kama lijali".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyanswe Nsame,
nilitaka nianze kukuamini ila nimegundua hii ni chuki baada ya kuleta swala la sayona, na nikujulishe sayona steel hamilikiwi na mtu mmoja ni part ya kina kiboko wanaotengeneza bidhaa kama za kiboko tanks,mabati sufuria n.k na kuingia kwao pale nyangomango lile eneo lilikua ni pori na palianza kuchangamka baada ya sayona kuingia watu wakifuata fursa nzuri kama za ajira,vyuma chakavu na mabaya pia kama kukaa karibu na kiwanda ili waweze kuwaibia vizuri ambapo Gardaworld security walifanya kazi kubwa kuzuia hili la wizi mpaka kupelekea kuuwawa kwa baadhi ya majambazi...So huenda unaukweli ila ondoa chuki angaliane namna sahihi ya kupambana na hawa watu!
 
Kama uzi huu ni wa kweli! Kuna watu watapata fursa ya pesa ndefu. Huyo gabachori ni taikuni mkubwa sema ni miongoni mwa wanaoficha sehemu kubwa ya faida nje ya nchi.Amehodhi sema 70% biashara ya bidhaa muhimu hususani sukari kanda ya ziwa kwa miongo kadhaa.Sijawahi kusikia amewekeza hata kiwanda ama shamba la maana, ama donation ya maana kwa jamii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anatuhumiwa kuingiza sukari
Yaani neno umelirudia kama una kigugumizi


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Uzi umekaa kimbea sana na kimajungu, kwahiyo walalahoi kuuziwa sukari kwa bei rahisi imekuuuma mwenyewe...
 
Umbea hauna posho dada. Wanyonge wakinunua utamu kwa bei chee unawashwa nini?
Angalia watu wote hakuna hata mbea mwenzio aliyekuunga mkono katika huu ushuzi.
Siku nyingine ongea yako sio ya wengine
 
Back
Top Bottom