Mfanyabiashara hatokueleza wapi anapata faida, kamwe usije kuomba ushauri ukadhani atafunguka 100%

chotera

JF-Expert Member
May 19, 2016
6,552
15,812
Hapa nawajibu wale wenzangu na Mimi, ukiona mtu anakueleza anapata faida fulani kwenye biashara fulani ujue hiyo biashara alishaacha kuifanya kitambo.

Biashara ni Siri kubwa na faida za biashara ni Siri kubwa pia. Wale tunaoulizia biashara ukumbuke biashara ni Siri na Siri ndio pesa yenyewe.

Hakuna atakaekupa code zote na njia anazopita hiyo sahau. So wale tunaofuatana DM kuulizana mjifunze hapa, pesa ina Siri na biashara ni Siri ya anayeifanya. Hivo msihangaike wewe andaa mfumo wako nawe utembee mbele kwa mbele hivo ndivo ilivo.
 
Ndio, hata wewe kama unauza machungwa na mnunuzi ni mr X, si rahisi ujiongezee ushindani wa soko lako.

Ni kama vile ambavyo Mbwa anavyofukia mifupa au chui anavyopandisha mzoga mtini au kichanga kinavyokataa usinyonye titi la mama.
Yes haipo hata siku moja mtu ajiandalie mshindani wake kibiashara haipo hiyo tupeane moyo lakini kufunguka code zote haipo hiyo toka dunia iumbwe iwe kwa biashara kubwa au ndogo utapata story za hapa na pale note real infos
 
Hapa nawajibu wale wenzangu na Mimi, ukiona mtu anakueleza anapata faida fulani kwenye biashara fulani ujue hiyo biashara alishaacha kuifanya kitambo.

Biashara ni Siri kubwa na faida za biashara ni Siri kubwa pia. Wale tunaoulizia biashara ukumbuke biashara ni Siri na Siri ndio pesa yenyewe.

Hakuna atakaekupa code zote na njia anazopita hiyo sahau. So wale tunaofuatana DM kuulizana mjifunze hapa, pesa ina Siri na biashara ni Siri ya anayeifanya. Hivo msihangaike wewe andaa mfumo wako nawe utembee mbele kwa mbele hivo ndivo ilivo.
Kweli kabisa
 
Mambo ya kizamani hayo njoo SA ununue Scania kichwa uje uuze Tanzania na trailer lake unataka biashara gani uambiwe na mimi nafanya hiyo biashara..
Wewe unavonunua Landrover mbovu na kuzimantain na kwenda kuziongeza chassis zinakua za Utalii hua unaeleza pesa unayopiga? Mbona landcruiser ulileta ikachukuliwa tunduma haukusema zaidi ya sadec ushuru umepanda ? Mwalafyale imbombo ngafu
 
Back
Top Bottom