Mfanyabiashara Ayubu Kiboko na mkewe washinda rufaa yao ya kusafirisha dawa za kulevya

Kile chombo pia itakuwa kinaendeshwa kihuni, Huwezi kwenda kumkamata mtu pasipo kuwa search/resting warranty. Embu watumishi wa pale waache kuwa na mihemuko katika utendaji mwisho wa siku wanaaibishwa kwa uzembe wa watu wachache.

Na Mama kawasema tayari, muanze kupiga jeramba muache kufanya kazi kwa kukariri na uonevu
 
Huwezi kwenda kumkamata mtu pasipo kuwa search/resting warranty. Embu watumishi wa pale waache kuwa na mihemuko katika utendaji mwisho wa siku wanaaibishwa kwa uzembe

Nyboma, mistari hiyo waisome kwa umakini na ikiwezekana iwe kauli mbiu yao na waitundike ktk kuta za ofisi zao kila siku waisome na hata kabla hawajakurupuka kutoka ofisini kwa operesheni maalum waiangalie mistari hiyo iwaongoze.
 
Kile chombo pia itakuwa kinaendeshwa kihuni, Huwezi kwenda kumkamata mtu pasipo kuwa search/resting warranty. Embu watumishi wa pale waache kuwa na mihemuko katika utendaji mwisho wa siku wanaaibishwa kwa uzembe wa watu wachache.

Na Mama kawasema tayari, muanze kupiga jeramba muache kufanya kazi kwa kukariri na uonevu
Katika Decision ambayo wanapashwa Sirro, NPS na DPP Wakae waifanyie Kazi ni Hii Ya Kitimbo.
.
Sawa Kitimbo ni Mpigaji Ila Ili Umkomeshe Mpigaji Lazima Ufuate Utaratibu Ili Um-spin Vzr Zaidi fuata Utaratibu Wa Kisheria.
.
Sheria Inataka Mtuhumiwa apelekwe Kwa Hakimu Kwa Ajili Ya Ungamo Isizidi Sa12 Jioni Ww Unampeleka Mda Utakao.
 
DCEA chini ya kina,Rogders Sianga, jaji kakolaki Balozi Fredrick kibuta, kanali Millanzi na James kaji walimaliza mitandao yote ya unga... ila hawa kingpins wamepoteza wataendelea kupoteza vijana wetu... wakiwa wanatolewa huko ndani.

Mungu anusuru kizazi chetu n laana ya madawa ya kulevya

Mzee Mweledi Rogders Sianga wamempeleka wapi?
 
Tutegemee Shamimu na mmewe kutoka pia. Sasa utawala wa michongo umerudi. R.I.P Magufuli. Hakika tutakukumbuka hata kama kuna mambo tulikupinga. Acha tukukumbuke kwa mazuri.
That's what he said.
 
Madawa ni DCEa sio polisi. Alafu kwa mtu Kama kiboko Wala huitaji kuuliza maswali mengi
Tatizo Mahakama haideal na maneno matupu, inadeal na sheria za makosa ya jinai ikiwemo PGO ambayo inatoa utaratibu mzima wa ufanyaji kazi ea polisi ili wanapoleta ushahidi kusiwe na mashaka maana polisi nao ukiwapa madaraka bila kuwapa limits basi Kuna hatari kubwa sana watu wakabambikiwa kesi Kama enzi zile za kubambikiwa murder kesi au ujangili.

Nachokiona Kuna syndicate wanatumwa kufanya upekuzi ila wanakiuka utaratibu makusudi ili mtu wao akipelekwa mbele ya Mahakama anakuwa huru na wanakuwa wamepoteza ushahidi.

Polisi wanajua vizuri kazi yao Wala sio kwamba hawajui. Kuna haja ya kuindoa syndicate ya ujambazi iliyopo baina ya wahalifu na askari wasio waaminifu wa kiapo Chao.
 
Hivi PGO ni nini
Police General Order, ni sheria inayotoa muongozo wa utendaji wa kazi kwa askari polisi wanapotekeleza majukumu yao ya kazi ikiwemo ukamataji, search na uvaaji wao kiujumla ethics zote kwa polisi wa kike na kiume, namna ya kuwasiliana kipolisi (chain of command) n mambo mengine mengi yanayohusu utendaji mzima wa jeshi la polisi.
 
TOKA MAKTABA :

31 January 2019


(Part 1) "First eleven ya wauzaji wa Madawa ya Kulevya yote ipo ndani..!" Rogers Sianga

Kamishna wa kupambana na madawa ya kulevya aelezea mbinu ya kupambana


Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za Kulevya Mhe. Rogers Sianga ameweka wazi namna alivyowakamata wauzaji wa madawa ya kulevya....tazama hapa


Source : cloudsmedia
 
27 February 2017

Funguka Part I: Kamishna mpya wa dawa za kulevya kwenye Interview na FUNGUKA ya AzamTV ambapo ameendelea kuongea yanayoendelea kwenye vita ya dawa za kulevya.

 
UKIONA PANYA BUKU AMEKAMATWA UJUE KADHULUMU WENZAKE WAMEMCHOMA AU HAJAPELEKA MRABAHA SEHEMU HUSIKA,,, AU HAYUPO NA HATAMBULIKI KWENYE SYSTEM...
 
kwa hiyo na majambazi waliokamatwa na silaha na police walikuwa hawana serch warant na wao wakate rufaa watoke
 
Siyo kilaza kama unavyonidhania rafiki.

Katika comment yangu nimeambatisha na mifano hai ya raia waliokamatwa kitaa bila ya hizo nyaraka na mpaka tunavyoongea wapo mkusota.

Labda nikuulize wewe mwenye upeo, raia yeyote hawezi kufanya ukamataji kwa kukuta kosa likitendwa na mhalifu?

Tukimaliza kulijadili hili, turudi kwenye hii hukumu ya marejeleo.

Kwanza walifungwa kwa hakimu wa kwanza baada ya kujiridhisha kuwa mtuhumiwa alitenda kosa hilo bila kuacha shaka yoyote.

Sasa kuja kumtoa kisa serch warrant, hapana hapo lazima kuna loop holes za kisheria bhana.
Pole sana
 
Back
Top Bottom