TANZIA Mfanyabiashara Andrew Mollel afariki dunia (mmiliki wa Happy Sausages)

Yeye kazaliwa Arusha maeneo ya Oloirien ( Burusu). Babu zao ndio walikuwa waamiaji na sio wao. Kuna cousin wao mmoja namjua anatumia jina la MzeeTemba wa Kimandolu maeneo ya Phillips (walioishi Kijenge ya juu au maeneo ya Sekei wanawajua kina Temba), cousin mwingine maarufu ni Mzee wa Pendeza studio ilikuwa pale Sheikh A A stadium. Kuna mandugu zao kibao Kijenge ya chini na maeneo ya Mwanama
Kuna ukoo pia uko kimandolu wa Msechu ila ni Waarusha...kifupi hao Waarusha ni Wachaga waliozamia huko zamani.

Wamasai gani waliolima ndizi miaka yote na kufanya ufugaji wa ndani?

Wamasai asili yao ni kuhama hama na Ng'ombe mikoa kwa mikoa na hawalimi
 
Mfanyabiashara maarufu mkoani Arusha, Andrew Mollel ambaye alikuwa mwanzilishi na Mkurugenzi wa kampuni mbalimbali mkoani Arusha amefariki dunia na kuibua simanzi kwa wakazi wengi wa jiji hilo.

Akizungumza na Mwananchi leo, Februari 28, Mbunge wa jimbo la Monduli , Fredrick Lowassa amesema kifo cha Mollel ni pigo kubwa katika jiji la Arusha kutokana na mchango wake.

Lowassa amesema taratibu za mazishi wa Mollel zinaendelea kufanywa na wanafamilia lakini, kubwa ambalo Arusha watamkumbuka ni kuandaa michoro ya mradi mkubwa wa nyumba za PPF zilizopo eneo la Kijenge jijini hapa ambalo lilikuwa ni eneo lake.

Mollel alikuwa pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Happy Sausages ,Kijenge Animal Products Limited, Georges Center Ltd na AGM Holding na pia mjumbe wa bodi mbali mbali hapa nchini.

Mollel pia alikuwa ni rafiki wa karibu wa Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa.

Kifo cha mfanyabiashara huyu ni mfululizo wa vifo vya wafanyabiahara kadhaa katika jiji la Arusha katika siku za karibuni.

Taarifa zaidi za kifo cha mfanyabiashara huyu zitaendelea kutolewa
View attachment 1714082
NIMETOK Arusha
Wanakufaaaaaa wenyehelaaaa asikwambie mtu rip mpwaa
 
MOLLEL WANAISHA SO SAD
MAJUZI TUMEZIKA ALIEKUWA KATIBUMKUU R.MOLLEL..DAH
 
MKE WA UISSO NAE TUMPE.RIP
MAMA YETU MLEZI MZAZI PALE ARUSHA
SIJAJUA DON UISSO NAE ANAENDELEAJE MAANA....

VIPI MZEE WA PERFECT NAABASI YALE ANAENDELEAJE NAE....
.....NA WENGINE O MUNGU AWATUNZE
 
Yeye kazaliwa Arusha maeneo ya Oloirien ( Burusu). Babu zao ndio walikuwa waamiaji na sio wao. Kuna cousin wao mmoja namjua anatumia jina la MzeeTemba wa Kimandolu maeneo ya Phillips (walioishi Kijenge ya juu au maeneo ya Sekei wanawajua kina Temba), cousin mwingine maarufu ni Mzee wa Pendeza studio ilikuwa pale Sheikh A A stadium. Kuna mandugu zao kibao Kijenge ya chini na maeneo ya Mwanama

Marehemu Mzee Pendeza Studio ni mrangi ingawa alijiita Mollel
 
Elowassa maringo/majivuno/ kwa kimaasai.Baba yake Lowassa alikuwa tarishi wa kikoloni akivaa kaptura,viatu na soksi he was smart.Ndio chanzo cha jina la Lowassa ni Mmeru kwa 💯 %.
Sahihi kabisa mkuu,
 
Dah....tumetofautiana ....mm nadhan wanawake ndo wakusifie wewe..sio ww ujisifie..vianaume vihandsome vinajikutaga balaa..hamjishughulishagi mpo mpo tu...uzuri Mungu alishawapa KOFI...hamnaga hela chafu...mna hela za kubadilishia mboga
Hata za kubadilisha mboga hawana...ovyoo kabisa kushinda kwenye kioo tu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mfanyabiashara maarufu mkoani Arusha, Andrew Mollel ambaye alikuwa mwanzilishi na Mkurugenzi wa kampuni mbalimbali mkoani Arusha amefariki dunia na kuibua simanzi kwa wakazi wengi wa jiji hilo.

Akizungumza na Mwananchi leo, Februari 28, Mbunge wa jimbo la Monduli , Fredrick Lowassa amesema kifo cha Mollel ni pigo kubwa katika jiji la Arusha kutokana na mchango wake.

Lowassa amesema taratibu za mazishi wa Mollel zinaendelea kufanywa na wanafamilia lakini, kubwa ambalo Arusha watamkumbuka ni kuandaa michoro ya mradi mkubwa wa nyumba za PPF zilizopo eneo la Kijenge jijini hapa ambalo lilikuwa ni eneo lake.

Mollel alikuwa pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Happy Sausages ,Kijenge Animal Products Limited, Georges Center Ltd na AGM Holding na pia mjumbe wa bodi mbali mbali hapa nchini.

Mollel pia alikuwa ni rafiki wa karibu wa Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa.

Kifo cha mfanyabiashara huyu ni mfululizo wa vifo vya wafanyabiahara kadhaa katika jiji la Arusha katika siku za karibuni.

Taarifa zaidi za kifo cha mfanyabiashara huyu zitaendelea kutolewa
View attachment 1714082
Shida ilikuwa nn.
Mungu awape nguvu ktk kipindi hiki kigumu
 
Kuna mmoja yumo humu jf...unadhani haendi chooni...mzuriii....kila wk naombwa hela.afu anakupangia sister naomba 30 hapa yaan sielewi kbs...ananichefua anavyojitapa humu namchek nasema nhiiii!


Mimi toka nikue na kujua kuwa mahandsome wengi na mwiba bwabwa na wapenda vitonga uwii huwa hata sipotezagi muda
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom